Ngeleja awalipua Upinzani

Ngeleja awalipua Upinzani

Huyu lengo lake kuu katika wizara lilijua ni kumpokea katibu mkuu na kusukuma gari yake pamoja na kashfa za kuhonga ili kupitisha bajeti yake.He must be aiming too low.Hii ni fedheha kwa vijana wasomi!


Aachane na upinzani kabisa sio saizi yake!
 
Sasa mpinzani halafu akusifie?? si itakuwa vituko hivi naisubiri kwa hamu kubwa siku CCM itakapokuwa chama cha upinzani naamini zile plasta alizosema M/KITI wao zitaisha kabisa madukani..
 
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.

Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?

hahahaha Ngeleja kazinduka???ajiandae kuanzisha kampun ya kuzoa na kuuza taka kama mwenzie,yaan ushuz wote alojamba NISHAT nae leo anafungua bakuli kubwata???jaman wanasiasa wana hila,nilidhan angechangia jins ya kuisaidia tanesco
 
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.

Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?

Hatuongei na mufilisi wa kisiasa sisi!
 
Huyu. Ngeleja alikuwa anaongea kana kwamba anajibu hoja za wabunge. Alisahau kuwa yeye siyo waziri bali ni mbunge aliyetakiwa kuongelea mambo ya jimboni kwake. Niliishia kumhurumia. Dah! Kumbe uwaziri mtamu.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Awakilishe jimbo lipi? Huko kwao walishamkataa siku nyingi hata kufika kwao mara nyingine hatumii hata gari,yaani anavizia kote kote akipita ni zomeazomea tu! Chezea wananchi wewe! Mbunge wao huko kwa sasa ambaye huwa anawasemea ni Wenje wa Nyamagana.
 
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.

Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?
Olesendeka anapinga hoja za waziri wa nishati na madini, tangu lini ameamia upinzani? ajiulize nani aliyesababisha yeye kuondolewa kwenye wizari kama waziri, nafasi ya kujipendekeza haipo tena na wala asijidanganye kwa kutumia hila, hila kwa sasa haina nafasi, ni pembe la ng`ombe azifichiki tena
 
Nyani haoni kundule,yaani Ngeleja ana tetea uozo anadhani bado yeye ni waziri,duh hao ndiyo wabunge wa CCM ndo maana rais ni sehemu ya wabunge wa CCM na kila wakati hali inapokuwa mbaya ana kimbilia Dodoma kuwashika miguu wasiiangushe sirikali yao,lakini kwa kuwa kuna malezi mabovu ndani ya chama nahisi mlezi wao atakuwa na mtindio wa ubongo
 
Huyu lengo lake kuu katika wizara lilijua ni kumpokea katibu mkuu na kusukuma gari yake pamoja na kashfa za kuhonga ili kupitisha bajeti yake.He must be aiming too low.Hii ni fedheha kwa vijana wasomi!


Aachane na upinzani kabisa sio saizi yake!
We ben wewe ngeleja humuwezi yule dogo mwenyewe kakushinda ile ishu yako bado unatembea nayo?
 
Hotuba za upinzani bungeni zimepinga maendeleo yapi? Alitaja Ngeleja ni maendeleo yapi yamepingwa?

Au kupinga kuendelea kutoa meno (ya watu na tembo), kucha na macho bila hata ganzi ni kupinga maendeleo? Yaani waendelee tu kutoa?
 
Alishemsha Nishati na Madini Sasa Amebakia Kupiga Majungu tu Wala hana Hoja ya Msingi.
 
Huyo Ngereja anafahamu maana ya upinza vizuri? au kaamua kuongea
ili watu wajue kuwa na yeye yupo bado mjengoni
 
Back
Top Bottom