Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Harudi tena kwenye uwaziri.Ana machafu mengi.Siku akitaka kuchukua fomu basi JF itakuwa tayari kuanika mambo yake.
Alikuwa waziri wa nishati na madini 10% zikamtokea puani. Wiliam NgelejaNi nani huyo mbona simfahamu???
tatizo tanzania tumejenga mfumo wa siasa wa staili ya nyani kuwacheka wengine kuwa wako uchi kumbe anayecheka na mwenyewe yuko uchi.
tunataka vyama viwe na sera ya gesi nasi tutaviunga mkono kulingana na sera zao katika hili pamoja na mambo mengine. swala la kukosoana wakati ukimuuliza wewe unayekosoa mpango wako ni upi hana.
Hujui serikali Ndo huaandaa rasmu ya sera husika na kuwakilisha bungeni Au unataka jukumu Hilo wapewe upinzani? okay kubali na kuachia uongozi wa serikali vinginevyo wapinzani watakupinga kila kosa la sera na uongozi mpaka ukubali kushindwa kuongoza vinginevyo nimeshuhudia Mara nyingi upinzani ukitoa ushauri kwa serikali ambayo huwa haisikilizi wala kujali Bali hubeza tuu.
Dr.Kigwangwalla alisema Ngereja naye anataka kugombea urais kupitia CCM 2015.
Nasikia kuna tetesi zinadai Ngereja ameshaanza kupanga na baraza lake la mawaziri, huenda Jairo atakuwa Waziri mkuu!!
Siku si nyingi atajua maana ya kuwa mpinzani na kazi ya mbunge ni nini wakati yeye akiwa anasikiliza bunge kama sisi wengine huku mitaani.Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.
Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.
Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?