We msigwa kweli hiyo tafsiri ya mwaka gani....kumbe ndo maana anatumiwa, hakuna mashine inayofanya kazi pasi na kuendeshwa na 'mtu'
Huyu. Ngeleja alikuwa anaongea kana kwamba anajibu hoja za wabunge. Alisahau kuwa yeye siyo waziri bali ni mbunge aliyetakiwa kuongelea mambo ya jimboni kwake. Niliishia kumhurumia. Dah! Kumbe uwaziri mtamu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
... haka kajamaa kanahasira sana tangu kafukuzwe uwaziri,kanaona chadema ndo mchawi wake,kwani kalizaliwa kawaziri..?? hebu kaache visasi,kila kakisimama kanalilia uwaziri tu...
...kakisimama na Dr. majimbo matatu tu tunatangaza rais,...Eti nako nasikia kanawania uraisi. Nani atampigia kura mwidhi huyo?
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.
Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?
Ngeleja awalipua upinzani Bungeni leo kuwa lengo lao ni kupinga hoja zinazoletwa mezani na Serikali ya CCM. Hii ikiwa ni lengo lao kuu la kutaka kushika madaraka. Wao muda wote wako kuhangaikia kutafuta madaraka na kusahau kuunga mkono hoja za kimaendeleo za waTanzania.
Wanasema uongo na kuchochea chuki wananchi kwa Serikali yao huku wakipinga mikakati ya wizara mbalimbali ya kimaendeleo. Je huu ndio upinzani? kupinga hata maendeleo?
Alikuwa waziri wa nishati na madini 10% zikamtokea puani. Wiliam Ngeleja
Upinzani unazidi kudorora kwa kukosa hoja na kubaki walalamikaji tu