mtoto wa mvuvi
Member
- Dec 19, 2014
- 32
- 1
Ngereja anatufaa sanaa kwenye uraisi alishatufanyia mengi sana watanzania natunajivunia uwongozi wake uliotukuka, lakini mti wenyematunda mema ndiyo unaopigwa mawe mungu azidi kumlinda ngereja.
Watu wengine ni ngumu sana hata kuwauza kwa wapiga kura. Mleta maada umejitahidi kumpamba mtu wako lakini sidhani kama anastahili na kama anaweza kupitishwa na magamba wenzake. Anyway endelea kukamata fursa kama anakupa za kumfanyia promo zipige!!
Hongera kwa kupata fursa. Naamin unachoeleza hapa hata nafsi yako haiamin hvyo bali njaa ndzo znakufanya hvyo. Na kwa taarifa yako hata ubunge huku SENGEREMA hapati. Ana kashfa kibao sna haja ya kuzisema hapa watu wanajua na wew pia unajua.Ngeleja anastali kuongoza nchi, kwanza hakurupuki anapoamua kufanya maamuzi. Ni mtu makini sana. Jambo moja muhimu ambalo napenda kuwakumbusha wanatanzania na wazalendo wenzangu kuhusu Ngeleja ni kwamba Ngeleja ndiye aliyeasisi mradi wa bomba la gesi kutoka mtwara mpaka dar es salaam na hatimaye kusambazwa nchi nzima. Mradi ambao ndiyo muarobaini wa Tatizo la umeme Tanzania, pia ,mradi ambao utaiwezesha nchi kuzalisha zaidi ya MW 10000, na kuiwezesha nchi kuuza nje ya nchi zaidi ya mega watt 7000 baada ya kukizi matumizi ya ndani ya megawatt 3000.
Akiwa kama kijana shupavu mzalendo na mpenda maendeleo ya nchi na watanzania kwa ujumla anatosha kuongoza nchi kama rais ajaye 2015.
zuma ,kenyata ,clinton,mwinyi wote walipitia vipindi vigumi vya kashfa lakini wamekuwa maraisi ,Wiliamu Mganga Ngereja nichaguo la watanzania we kataa hadi mishipa ya shingo ikutoke huwezi zuia mafuriko kwa vidore.Kwa kashfa ya Escrow bado tu mnamuuza?ama kweli tumbo litawaua
zuma ,kenyata ,clinton,mwinyi wote walipitia vipindi vigumi vya kashfa lakini wamekuwa maraisi ,Wiliamu Mganga Ngereja nichaguo la watanzania we kataa hadi mishipa ya shingo ikutoke huwezi zuia mafuriko kwa vidore.Kwa kashfa ya Escrow bado tu mnamuuza?ama kweli tumbo litawaua
Hiyo ni Sifa au kushindwa?
Kila kitu hovyo hovyo usimpe bichwa kwa Sifa za kijinga au waswahili husema usimvike kilemba cha ukoka!!!
Hebu niambie halimashauri ya mji mdogo sengerema inaongozwa na chama gani? then linganisha na kipindi kile ngereja wako anaingia madarakani! kamwambie km kakutuma kutafuta kick huku mitandaoni basis wanasengerema tulishamdelete zamani sana.
Hongera kwa kupata fursa. Naamin unachoeleza hapa hata nafsi yako haiamin hvyo bali njaa ndzo znakufanya hvyo. Na kwa taarifa yako hata ubunge huku SENGEREMA hapati. Ana kashfa kibao sna haja ya kuzisema hapa watu wanajua na wew pia unajua.
Kwa mwenye kufikiri, hiyo ni sifa kubwa sana.
Kila mjuzi hufanya mambo yake yakaonekana myepesi na rahisi sana, nenda kajaribu kufanya, hapo ndiyo utaelewa urahisi wake.
Kwi! kwi! kwi! kwi!,Safari hii hata ubunge huku Sengerema atausikia kwenye Breaking News za ITV sembuse Urais.Unaota wewe mleta mada.
Kati ya mtu alie haribu uchumi wa nchi kwa mgao Hatari ambao haujawahi kutokea tena ni William Ngeleja.
Pia wakati akiwa madarakani alituchomekea Richmond. Mgao kapata 40.4 M. Huyu ni bora hata ya J. Makamba.
T WMN na watz wazalendo wa nchi yetu hatukubali KASHFA ZA KUTENGENEZWA! Hatukubali kuendeshwa na wafitni wachache wanaowazushia kashfa za kutengeneza dhidi ya makada wenye uwezo kama Ngeleja. Na tuna uhakika Ngeleja atakapozungumza rasmi na watz kuhusu NIA yake ya kugombea urais nchi itazizima,huyu ni kifaa cha uhakika. Tunawaomba watz wawatafakari wagombea kwa legacy na vision,kwa vigezo hivyo hakuna wa kumshinda Ngeleja,ila kwa fitna watamshinda!
Kwa mwenye kufikiri, hiyo ni sifa kubwa sana.
Kila mjuzi hufanya mambo yake yakaonekana myepesi na rahisi sana, nenda kajaribu kufanya, hapo ndiyo utaelewa urahisi wake.
Bw Bill Clinton alipingwa alipotangaza nia ya urais Na baadaye akashinda. Mzee Mwinyi naye akipingwa kabla ya kugombea urais kuwa ana kashfa Na hana uwezo ila mwisho wa siku akashinda. Rais Barack Obama naye alipingwa mno eti Ni mweusi Na hafai kuongoza ila mwisho wa siku akashinda. Uhuru Kenyata naye ilikuwa hivi hivi ila baadaye mambo yakawa imara na maadui zake akawafunga mdomo. Sishangai hata mwaka huu maneni yatasemwa dhidi ya WMN Na mwisho atapita. Watu hawaangalii vioja vya wizi n.k watu wanaangalia je kiongozi wao atawasaidia nini?
Karibu tushangilie kufufuka kwa bwana wetu Yesu Kristo.
Kabla ya kumruhusu kuingia ndani umkague kwa kina. Naogopa sana mambo yale ya "kujitoa muhanga" maana huyo naye haeleweki eleweki.