Ngeleja anastali kuongoza nchi, kwanza hakurupuki anapoamua kufanya maamuzi. Ni mtu makini sana. Jambo moja muhimu ambalo napenda kuwakumbusha wanatanzania na wazalendo wenzangu kuhusu Ngeleja ni kwamba Ngeleja ndiye aliyeasisi mradi wa bomba la gesi kutoka mtwara mpaka dar es salaam na hatimaye kusambazwa nchi nzima. Mradi ambao ndiyo muarobaini wa Tatizo la umeme Tanzania, pia ,mradi ambao utaiwezesha nchi kuzalisha zaidi ya MW 10000, na kuiwezesha nchi kuuza nje ya nchi zaidi ya mega watt 7000 baada ya kukizi matumizi ya ndani ya megawatt 3000.
Akiwa kama kijana shupavu mzalendo na mpenda maendeleo ya nchi na watanzania kwa ujumla anatosha kuongoza nchi kama rais ajaye 2015.
Ngereja, mbali na kumpigia chapuo la Urais hata Ubunge hapati. Hakuna alichofanya Sengerema zaidi ya kujitengenezea barabara inayoishia kwake, Very sad!!!!!!.