Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja amesema Serikali ilikuwa na mpango wa kujenga mtambo wa kuchenjua madini tangu muda mrefu.
Amesema hayo leo Ijumaa bungeni wakati akifafanua tuhuma zinazotolewa kwa viongozi wa wizara hiyo waliokuwapo wakati mikataba ya madini inasainiwa kwamba hawakufanya chochote kuepusha wizi na udanganyifu unaoendelea kwenye sekta ya madini.
Amesema hayo leo Ijumaa bungeni wakati akifafanua tuhuma zinazotolewa kwa viongozi wa wizara hiyo waliokuwapo wakati mikataba ya madini inasainiwa kwamba hawakufanya chochote kuepusha wizi na udanganyifu unaoendelea kwenye sekta ya madini.