Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Unaweza usiamini lkn Mshambuliaji mpya wa Mabingwa wa soka Tanzania Bara Mrisho Khalfani Ngassa leo ameanza mazoezi rasmi na team yake mpya kujiandaa na mashindano ya Kombe la Mbuzi ABC nini sijui pamoja na msimu mpya wa Ligi unaotarajia kuanza mwezi September.
Akinukuliwa na Mtandao mmoja unaojishughulisha na Vijana Teen Tz Ngassa amesema amejipanga kufanya mambo makubwa na ndo maana hajataka kupoteza muda kwa kujiunga na wenzake kuanza mazoezi,aidha Ngassa amewataka mashabiki wa Simba kumpa ushirikiano ili awafanyie mambo ambayo hawatayasahau kwa urahisi
Ama kweli pesa ndo kila kitu,binafsi sikutegemea kumuona Ngassa akiwa katika uzi huu, sisi Yanga kwa kuwa weredi wetu ni mkubwa kuliko mashabiki wa hiyo team uliyoichagua kuichezea tunasema hatuna tatizo na wewe na tunakutakia kilalaheri katika hiyo team yako mpya na kamwe hatutakuzomea uwanjani kama wao wanavyomzomea Yondani wetu,sisi au niseme binafsi mimi nakuunga mkono kwa uamuzi uliochukua wa kutoiacha offer ya kina Kaburu(siku zote Wajinga ndo waliwao) ukichukulia mpira ndo kazi yako na mpira wenyewe ndo unaelekea mwishonimwishoni,wapigie kazi ya maana wasije kukutafutia sababu.
Akinukuliwa na Mtandao mmoja unaojishughulisha na Vijana Teen Tz Ngassa amesema amejipanga kufanya mambo makubwa na ndo maana hajataka kupoteza muda kwa kujiunga na wenzake kuanza mazoezi,aidha Ngassa amewataka mashabiki wa Simba kumpa ushirikiano ili awafanyie mambo ambayo hawatayasahau kwa urahisi
Ama kweli pesa ndo kila kitu,binafsi sikutegemea kumuona Ngassa akiwa katika uzi huu, sisi Yanga kwa kuwa weredi wetu ni mkubwa kuliko mashabiki wa hiyo team uliyoichagua kuichezea tunasema hatuna tatizo na wewe na tunakutakia kilalaheri katika hiyo team yako mpya na kamwe hatutakuzomea uwanjani kama wao wanavyomzomea Yondani wetu,sisi au niseme binafsi mimi nakuunga mkono kwa uamuzi uliochukua wa kutoiacha offer ya kina Kaburu(siku zote Wajinga ndo waliwao) ukichukulia mpira ndo kazi yako na mpira wenyewe ndo unaelekea mwishonimwishoni,wapigie kazi ya maana wasije kukutafutia sababu.