Ngao ya Jamii 2023/2024 itakwenda Simba Sc, NBC 2023/2024 Bingwa atakuwa Simba Sc

alibashiri Al ahly kubeba ubingwa champion league
alibashiri yanga kupoteza fainal
alibashiri Far rabat kuwa mabingwa wA morocco
alibashiri meko kudedi 2years before
Alianza kubashiri Yanga kupoteza Robo final dhidi ya Rivers, Akatabili Yanga kupoteza Semi dhidi ya Malumo, akatabili kupoteza dhidi Ya USM Algers.

Kumbuka kunguru kumnyea mtu sio kwamba ana shabaha.
 
Acha ubishi wewe... We siunataka yatimie kaa kwa kutulia ujionee kikubwa uhai hayo mengine mpaka uletewe sijui link ni mbwembwe tu ila hizo zipo humu Jf mbona.
Swala sio kutaka yatimie, tunaomba reference tuone tabiri zake zilizopita maana watu wamedai hajawahi kosea. Tuanzie hapo kwanza kwenye kutokukosea. Leteni hizo link za tabiri zake tuzione.
 
Wa kawaida wakati amechezea timu kubwa kama Orlando pirates , mamelodi nk
Huko Sundowns ni kama hakufanya kitu Pirates walijuta kumnunua wakamtoa Kwa mkopo mazima wewe Skudu humjui endelea kukaza fuvu muda utasema..
Mchezaji kila mwaka anahama timu hata Pirates kumpeleka Chippa United hawakuwa na ujanja walishaingia mkenge..
 
Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha mwaka ujao.

Nguvu ya kiroho katika ushindi na kila kitu msimu huu wa 2023/2024 imewaegemea Simba sc kuliko timu nyingine yoyote, Note my words kwa kuanza na Ngao ya Jamii. muwe na msimu mwema 2023/2024 machizi soka na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania na kule visiwani.
Nakubali
 
Back
Top Bottom