Tulia kijana Azam lazima washinde 2 save uzi huu mpaka saa 2Wewe una hamu tutaje mechi ya jana huko Kilimanjaro...Hayo matokeo baki na wenzako..!
Hachezi ana injuryMbwa wote ambao hawamtambui IDDY SULEIMAN RONALDO WA BONGO LEO MTAMJUA VIZURI
Jamaa wa bodaboda morogoro walifanikiwa kuipenya ngome dhaifu na kuudhihirisha udhaifu wake wakatupia kitu kambani. Sina uhakika kama ile timu wapo wote.Ama kweli this is next level. Wakati sisi tumeanza kazi wenzetu bado wanatest mitambo timu inaonekana ni kama timu ya kata imeokoteza wachezaji kila kijiji
Hachezi leo ni majeruhiMbwa wote ambao hawamtambui IDDY SULEIMAN RONALDO WA BONGO LEO MTAMJUA VIZURI