Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Poleni na Majukumu ya Jumapili.
Wakuu Jana katika zungukazunguka yangu Mjini hapa nilisimamishwa na Askari Traffic Baada ya Kunikagua alivyoweza yeye Mwishoni alinipa uzoefu ambao sikuwahi kujua kama nikosa.
Aliniuliza kwa nini Gari yako Ina Ngao. Nikamwambia kuwa hiyo Ngao ilikuwa na Spot light lakini nilitoa. Akasema Ngao ni kosa Magari hayapashwi kuwa na Ngao. Naamini mumeshawahi kuona zile Ngao za Rav4.
Wakuu baada ya kuachana naye nilibaki najiuliza kuwa sasa hii imekuwa too Much kweli Ngao ambao haina madhara yoyote leo hii ni kosa kuwepo kwenye Gari?
Mwenye uzoefu na Utalaam zaidi naomba nisaidiwe kueleweshwa kweli Ngao Hazitakiwi.
Wakuu Jana katika zungukazunguka yangu Mjini hapa nilisimamishwa na Askari Traffic Baada ya Kunikagua alivyoweza yeye Mwishoni alinipa uzoefu ambao sikuwahi kujua kama nikosa.
Aliniuliza kwa nini Gari yako Ina Ngao. Nikamwambia kuwa hiyo Ngao ilikuwa na Spot light lakini nilitoa. Akasema Ngao ni kosa Magari hayapashwi kuwa na Ngao. Naamini mumeshawahi kuona zile Ngao za Rav4.
Wakuu baada ya kuachana naye nilibaki najiuliza kuwa sasa hii imekuwa too Much kweli Ngao ambao haina madhara yoyote leo hii ni kosa kuwepo kwenye Gari?
Mwenye uzoefu na Utalaam zaidi naomba nisaidiwe kueleweshwa kweli Ngao Hazitakiwi.