Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Mbona na yeye mzuri tu? mm ndio basha wake!
mimi kina nivutiaga sana kwa vihipsi vyake, na lipsi zake, hasa anapokuwa kajitupia shedo!! Huko nyuma yake ndo balaa!! Sijui hu yu Neema kamix na mmanga??Mbona na yeye mzuri tu? mm ndio basha wake!
Ni hivi huyu Neema ***** tu, siku zote huimba upumbavu na kwa wanaomdanganya humwambia "hebu wachokoze ili wajibu au waanzishe ugomvi" Maskini kilaza Neema hutopata jibu labda la BASATA, coz watu wa busy kusaka pesa na elimu na sio kama wewe kilaza unaeshinda kwenye vijinondo ilhali kwako unashindia kahawa na kashata.KIONE KI FREEMASON KOKO CHA MANZESE, kinatia hadi huruma!!! Pttuuu!!!
jamaa yuko poa ila kusema wasanii wa mikoani waondke dar kachemka coz anajionesha km hajiamin tz m2 anaish popote.jiamini neema.haaaa!
Ni hivi huyu Neema ***** tu, siku zote huimba upumbavu na kwa wanaomdanganya humwambia "hebu wachokoze ili wajibu au waanzishe ugomvi" Maskini kilaza Neema hutopata jibu labda la BASATA, coz watu wa busy kusaka pesa na elimu na sio kama wewe kilaza unaeshinda kwenye vijinondo ilhali kwako unashindia kahawa na kashata.KIONE KI FREEMASON KOKO CHA MANZESE, kinatia hadi huruma!!! Pttuuu!!!
mungu wangu hichi kitu nilikuwa sijui kabisa, ebu kwanza kuna neno hapo eti bongo star search kuna demu msagaji ni nani huyo au ndio huyu mama mzuri hivi kweli anafanya vitu hivyo? anyway ni namna ya kupata raha anayoitaka nilishilie maisha ya watu ila nafurAhi kufahamishwa.
maoni yangu huu wimbo haufai haufai haufai haufai kabisa unadhalilisha kabisaaaaa watu hata kama mtu ni malaya, shoga, msagaji, basha ukimwambia hadharani ataacha?? no way itafanyika kwa siri na kama ndio umemuongezea speed maana watu wengi watajua na ndio watamtafuta in short mmewatafutia wateja,
napita kama simo
salama j