Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,210
- 4,712
Kutokea Kahama Mkoani Shinyanga
Madiwani Wawili wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wametwangana makonde wakigombea 40,000 muda mfupi baada ya kumalizika kikao cha Baraza la Madiwani
Nipashe
Madiwani Wawili wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wametwangana makonde wakigombea 40,000 muda mfupi baada ya kumalizika kikao cha Baraza la Madiwani
Nipashe