Habari za kuaminika zilizonifikia hivi punde kutoka kwenye newsroom ya NewHabari, inasemekana CEO wake Hussein Bashe na Wahariri wa RAI wakiongozwa na Danny Mwakiteleko wamepigiwa simu na kukaripiwa kwa vikali sana na mmiliki wake Rostam na inasemekana kuna kikao leo jioni ambao inaweza kuwa ndiyo mwisho wao wa kibarua chao.
Mtoa habari anasema inaonekana habari za gazeti la RAI la leo la kutaka kumhusisha Mzee Mengi bila kumtaja na zoezi la kutaka kumngoa JK madarakani ndiyo limezua vurugu kubwa kwani hao wafanyabiashara wawili imethibitshwa kwamba wamepatana na mwanzoni mwa mwaka huu, Rostam alikwenda mahakama kuu akifuatana na Mengi na kumfutia Mengi kesi zake zote na Mengi kufanya vivyo hivyo na wakaweka makubaliano. Yetu macho, tunaendelea kusikilizia.....
Mtoa habari anasema inaonekana habari za gazeti la RAI la leo la kutaka kumhusisha Mzee Mengi bila kumtaja na zoezi la kutaka kumngoa JK madarakani ndiyo limezua vurugu kubwa kwani hao wafanyabiashara wawili imethibitshwa kwamba wamepatana na mwanzoni mwa mwaka huu, Rostam alikwenda mahakama kuu akifuatana na Mengi na kumfutia Mengi kesi zake zote na Mengi kufanya vivyo hivyo na wakaweka makubaliano. Yetu macho, tunaendelea kusikilizia.....