kama utanipenda ya darassa....hamna kipya hapo....beat lile lile abba kakosa ubunifuWimbo mbona kama unataka kufanana na Show Me? Anyway sijui kama Movoko atakuja kuurudia ule ubora aliokuwa nao enzi za 'SILALI'
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe hapo ndo umepinga kwa nguvu zote?Aondoe hicho kipengele cha " Ganja tutachoma" la sivyo wimbo ufungiwe kwa sababu unahamasisha kutenda kosa kubwa lajinai la madawa ya kulevya. Sasa hivi nchi inapambana na madawa ya kulevya inatakiwa watu wote tupinge kwa ngvuvu zote na tumaanishe tunachopmbana nayo. Kuitamka ganja kwenye wimbo wako wakati ganja ni adui namba 1 wa mtanzania ni kwenda kinyume kabisa na maadili ya Mtanzania
Aondoe hicho kipengele cha " Ganja tutachoma" la sivyo wimbo ufungiwe kwa sababu unahamasisha kutenda kosa kubwa lajinai la madawa ya kulevya. Sasa hivi nchi inapambana na madawa ya kulevya inatakiwa watu wote tupinge kwa ngvuvu zote na tumaanishe tunachopmbana nayo. Kuitamka ganja kwenye wimbo wako wakati ganja ni adui namba 1 wa mtanzania ni kwenda kinyume kabisa na maadili ya Mtanzania
Bado sijafanikiwa kuusikiliza wimbo huu...Uyu ndio Richard ninaemfahamu aiseeee kati ya joint kali kutoka katika msimu huu ambao tumeshuhudia nyimbo nyingi mbovu hakika Mavoko amesimama kama kitambo safi sana hii ngoma ina haki ya kuishi kwenye music device yangu na re-play inahusika.