Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kwa wale wakazi wa mikocheni maeneo ya kwa nyerere kalibia na clouds fm
kuna jengo moja kubwa inasemekana ni Night club ya kisasa ambayo itaifunika
billicans ya mbowe.
Hii ni nght club ambayo bado haijafunguliwa lakina kuna tetesi kuwa imeanzishwa
ili kumaliza makali ya billicans.
Nini nani mmliki wa club hii? je clouds ndo wamiliki?
Je itaanzishwa kufutia vijana maana upande mwingine wa kiitikadi vijana wamekimbia
kuna jengo moja kubwa inasemekana ni Night club ya kisasa ambayo itaifunika
billicans ya mbowe.
Hii ni nght club ambayo bado haijafunguliwa lakina kuna tetesi kuwa imeanzishwa
ili kumaliza makali ya billicans.
Nini nani mmliki wa club hii? je clouds ndo wamiliki?
Je itaanzishwa kufutia vijana maana upande mwingine wa kiitikadi vijana wamekimbia