brainiac89
Member
- Dec 3, 2011
- 35
- 29
Kama kawaida ndugu katika jamii! Mdau mpya, katika mwaka mpya, na mawazo mapya ya mabadiliko katika jamii! Nagonga hodi natumai kufunguliwa mlango ndani ya nyumba nikaribishwe!! Shalom!
Karibu brainac89....
nashukuru kaka mkubwa! Pa1 2tabadilisha nchi na mawazo ye2
Kama kawaida ndugu katika jamii! Mdau mpya, katika mwaka mpya, na mawazo mapya ya mabadiliko katika jamii! Nagonga hodi natumai kufunguliwa mlango ndani ya nyumba nikaribishwe!! Shalom!
Naomba kujitambulisha kwenu nyote wanajamii wa jf. Napenda mijadala yenye kuelimisha na kuburudisha na pia nampenda kila mwanajamii na nampokea kadri alivyo na mawazo yake.