New member

brainiac89

Member
Dec 3, 2011
35
29
Kama kawaida ndugu katika jamii! Mdau mpya, katika mwaka mpya, na mawazo mapya ya mabadiliko katika jamii! Nagonga hodi natumai kufunguliwa mlango ndani ya nyumba nikaribishwe!! Shalom!
 
Naomba kujitambulisha kwenu nyote wanajamii wa jf. Napenda mijadala yenye kuelimisha na kuburudisha na pia nampenda kila mwanajamii na nampokea kadri alivyo na mawazo yake.
 
Kama kawaida ndugu katika jamii! Mdau mpya, katika mwaka mpya, na mawazo mapya ya mabadiliko katika jamii! Nagonga hodi natumai kufunguliwa mlango ndani ya nyumba nikaribishwe!! Shalom!

Aliyekufungulia mlango anaitwa Erickb52 ndiye kiongozi wa jukwaa la wageni. Mimi naitwa Katavi ndie mpokea mizigo ya wageni. Karibu sana!
 
Back
Top Bottom