haaa sikutegemea kukutana na kitu kama hichi looh sa inakuwaje hawaziheshim hizi nyumba za kudumu
haaa sikutegemea kukutana na kitu kama hichi looh sa inakuwaje hawaziheshim hizi nyumba za kudumu
si za kudumu kwani kunasiku zitabomoka tayari kwa hesabu.ila wazazi wa hao watoto ndio wakulaumiwa kwa kuwaacha hao watoto wacheze juu yake.
Makubwa haya , heshima kwa waliotangulia hakuna.