New life band arusha

New life band arusha

new life 2.jpg
 
Natamani kupata ile vol 12 yenye title ya yesu ni mwema....mweye nayo anipim....nabarikiwa sana na hiyo...
 
JF ni kisima cha habari.
Vipi kuhusu mwimbaji Mwinjilisti Munisi? Yuko wapi? Mara ya mwisho nilimsikia akiwa Kenya.Huyu naye alivuma kipindi kimoja na New Life Band. Nimesahau jina lake la kwanza.
 
New Life Band 2014
 

Attachments

  • 1402111435035.jpg
    1402111435035.jpg
    58.8 KB · Views: 115
Iende mbele injili hiyoo....!pambio murua kabisa kwahiyo bado wanaimba ila mwanakikundi mmoja amejitoa?huna hata wimbo mmoja(mp3) unaoweza kuuweka hapa tupate mkuu?
Upendo kilahiro ndio alie jitoa nadhani , hawa hawana audio cd hawa.
 
Hii pic itakua ya long maana huyo wa Kati walocmama anaitwa eglah amefariki kitambo kdg,hp namkumbuka kifizi,Gideon na ondo mabondo nawakubali sn new life band
 
Nawakumbuka sana kwenye youth camps ilikua amazing sana ilikua kama adventure flani mnakutana vijana wa rika tofauti mahali tofauti nilikua naenjoys games drama lessons talents it was just amazing aisee...... Long live New Life.
Wengi nawafahamu wamenda America na ulaya.
 
Wanamiliki shule ya msingi na sekondari Kisongo-Arusha.Inaitwa New life schools kama sikosei.Pia wana lori la 18Tone la mchanga linapaki maeneo ya Shamsi.
Ki msingi wamejiendeleza sana na kuwa taasisi kubwa.
 
Umenikumbusha sana hawa jamaa waliimba pale CCM Kirumba alipokuwa anahutubia Egon Fark
 
Bendi hii ya muziki wa injili iko wapi kwa sasa?nimekumbuka uimbaji wao ulitubariki kwelikweli kwa vipawa walivyopewa na MUNGU,mwenye taarifa,nyimbo zao jimwage hapa

Watu hufanya kazi kwa bidii kwa moyo wakiwa desperate, mambo ikinyoka wanarelax, ndo hawa jamaa! Kwishney. Wana studio hapo juu kimahama
 
Huu wimbo wao "mji ule unameremeta umepambwa maua", naweza kuupata wapi ONLINE? Nimejaribu youtube sijaupta
 
Bendi hii ya muziki wa injili iko wapi kwa sasa?nimekumbuka uimbaji wao ulitubariki kwelikweli kwa vipawa walivyopewa na MUNGU,mwenye taarifa,nyimbo zao jimwage hapa
Wana mapato ya kutosha, Wito wamesahau
 
Ibrahimu Kibambe alifariki dunia.. kwa sasa New Life Band inafanya matamasha Ulaya na Marekani, pia bado wanajihusisha na huduma za vijana kwa kufanya makambi ya vijana mara moja kila mwaka sehemu mbalimbali.
Kwa sasa waimbaji ni kama Eglah Bavuma, Abednego Hango waliotoka AVC, pamoja na Deo, James Kufizi, Gideon na Ondo
na Mathayi Lemabi wa Tumaini choir/shangilien
 
Back
Top Bottom