Hahahahaha GB road kaka siku ya kwanza sijatimba mshikaj wangu mmoja alikuwa anasoma Punjab , mji wa Chandighar akaniambia hapo kuna watoto wengi paka wakichina kinepal, nikawa navuta picha itakuwa bonge la sehemu , nikachukua Rickshaw nilikuwa mitaa ya Rajiv Chowk usiku nakula mtungi, kwenda pale kujionea hayo mazingira balaa, kwenye ngazi unapishana na watu mia wanapanda mia wanashuka, uwanja wa fisi unasubiri, unagonga ishu kwenye vitanda vya chaga tupu, paka msuli ukanikamata , bei ni rupee 500 tu ilikuwa, what an experience , mimi nahisi nyumba ilikuwa 60 fulani mayb au 70 aswell
Hapo kw3nye hony ndo penyewe kumbe ni India yote,?? Nilidhan ni chennai (madras), na mumbay peke akeee
Kweli sanaDelhi nilipenda;
1. Nauli kwa Ethiopian Airlines ni cheap kuliko KQ (Dar-NBO -Dar).
2. Airport yao Classy (hakuna mikelele ya matangazo ya kipuuzi).
3. Hotel/bidhaa nafuu kuliko Dubai
4. Usafiri/domestic nafuu-auto rickshaw.
New Delhi ubaguzi upo chini sana!duh, vp ple university yao ya new delhi ubaguz hmna
Kwenye suala la papuchi hapo nakuunga mkono kwa asilimia 200! Tena afadhali hata huko Delhi kuna sehemu unaweza kununua, sehemu nyingi sana tena miji mikubwa kuliko ya bongo hakuna papuchi ya kununua au ya kuishika mkono uisalimie😀😀. I had the longest dry season ever over there, ndipo nikatambua useja unawezekana.
Ila india ni tofaut wagen hawapendwi
Mdogowangu alitaka aende akasome degree ya computer science branch ya punjab university New Delhi ila jamaa aliyekua akiunganisha mambo alitutajia gharama kubwa za kukodi rum about Tsh180,000 per month kiasi ambacho wazee walighairi tena kumpeleka dogo .sijui kwanini watanzania wengi walioko nje hawatoi info za kweli wanajali sana cha juu tena kingi !! Dogo ilimuathiri sana kias kwamba ilimcost performance yake chuoni coz alishamaliza kushughulikia mambo yote yahusuyo safari.
amsr
Hiyo ya 11 kali...yaani mtu anjitolea kukusaidia ila lugha hajuwi na wala haelewi unaongea nini? Yaani nabaki kucheka mpaka.
Sijui kwanini watu hua wanatoa wrong info kwa kujali sana cha juu, si ni bora mtu akwambie ukweli halafu adai malipo !
Anyway kwa kukosa kusoma faida gani amekosa na hasara gani ameepuka?
Shukran mkuu
Vipi joto LA papuchi zao !??naskia wako na baridi sana hebu dadavuaMkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..