Propaganda Tupu Tu Hizo!! Walikuwa Wapi Miaka YOTE Hiyo!! Wkt BUGURUNI MNYAMANI Likiwa Ni Shamba Tu!!! Je, Walikuwa Wapi MANZESE, MBURAHATI, KIGOGO, MABIBO, KIBANGU, MBAGALA, KONGOWE, CHAMAZI, MBANDE, TEGETA, BUNJU, KIMARA, MBEZI, KIBAMBA, KILUVYA N.k. WATANZANIA Wakijenga!!!?? Hebu Niambie Unaanza Vp Kuiplan Mbagala Au G /mboto Ya Leo!!!!!?? NDIO Maana NASEMA Ni Propaganda Tupu Tu Hizo!!! HAIWEZEKANI!!! Labda Hao Wa Mabondeni Na Maeneo Ya Wazi Au Wale Waliouziwa Maeneo Ya WATU Wengine!!! Hata Mabondeni BADO WATENDAJI Wa SERIKALI Ndio Wawe Wa KWANZA Kula Kibano!! Maana Watu WANAJENGA WAO Wanawatazama Tu, Hata Kuweka Mabango Ya Makatazo Walau Ya Kuzuga Kama Ya Tanroads Kule Mandela Road!! Eti "USIPAKI KTK ENEO HILI LA HIFADHI YA BARABARA "Lkn Malori Yamejaa KIBAO, TENA Hadi Mbele Ya Ofisi Zao Wenyewe!! Tehe! Tehe! Tehe!! Hiyo Ndio Bongo Bhana!!! NDIO Maana Bonde La Msimbazi Miaka 80- 90 LILIKUWA Tupu KABISA!! Lkn CCM Wakavamia Na Kujenga MAJENGO Ya MRADI WAO Waliouita SUKITA!! Muda Mfupi Tu Mwanzoni Mwa Miaka Ya 90, RAIA WAKAANZA Kujenga Kidogo Kidogo, Baada Ya KUONA Kumbe Sio MAENEO HATARISHI TENA, Baada Ya KUJENGA Na Kuanzishwa Kwa MRADI KUFUGA Wanyama Aina Mbali Mbali!!! HATIMAYE Bonde Lote La Msimbazi Likajengwa Kuanzia Pale Pale Jirani Na SUKITA, Magereji, Magodauni, Mayadi, Maofisi, Viwanda Na Makazi!! Leo Tabata Matumbi Na Buguruni Zimeungana, Kigogo Na Buguruni Na Sharifu Shamba, Na Magomeni Na Mburahati!! Hatimaye Mabonde Yooote YALIOPO Dar Yamejaa Ama MAKAZI, VIWANDA, MAGODAUNI, MAYADI, MAGEREJI N.k!!!! SWALI Je "HAO " Wanaojiita MIPANGO MIJI, WIZARA YA ARDHI, MANISPAA NA JIJI Walikuwa LIKIZO!!!!??? HATA Leo WAMEREJEA KAZINI!!!!???