New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Wanataaluma wakatoliki wanaweza kutoa shule nzuri zaidi.
Maana hasa ya kubadili majina ina maana ya kuaga hali ya zamani na kuivaa mpya kama Tumbili leo ungekuwa hujabatizwa kwa mapokeo ya kanisa uko na nafasi ya kuchagua jina jipya kutoka majina mengi ya wakristo wa zamani waliotangazwa watakatifu ambao unataka kufuata na kuiga matendo yao katika maisha yako na kuona kama ni mfano na kielelezo cha maisha mapya unayoyaanza ya ukatoliki.

Si mapapa tu, mashirika ya kitawa ya kikatoliki mengi yana utaratibu huo, baada ya kipindi cha kutazamwa
(aspirants and postulants) wanapoingia kwanye malezi ya maisha yenyewe (novice) huchagua majina mapya ambayo watayatumiwa wakiwa wanashirika, na source ya majina ni kutoka wakristo ambao wametangazwa watakatifu kama wasimamizi na mifano ya kuigwa katika maisha yao ya kikristo.

Papa mpya kimapokeo huchagua jina mojawapo la mapapa waliomtangulia kuiga mfano wa maisha yake, utendaji wake ingawa si yote aliyofanya huyo mtangulizi wake katika kiti cha kitume atayafuata, ila binafsi anaona ni kielelezo chenye kumfunza katika maisha na utendaji wake.

cc.
FirstLady1

Mkuu kwa maana hiyo kuna Papa alikuwa akiitwa Francis na huyu wa sasa anaitwa Francis I? Kwa nini yule wa kwanza ambaye huyu amechukua jina lake asingeitwa Francis I na huyu kuwa Francis wa II?

 
Mkuu kwa maana hiyo kuna Papa alikuwa akiitwa Francis na huyu wa sasa anaitwa Francis I? Kwa nini yule wa kwanza ambaye huyu amechukua jina lake asingeitwa Francis I na huyu kuwa Francis wa II?


Kwa mapokeo huchagua walio watangulizi na mara nyingine huweza kumchagua Mwumini aliye Mtakatifu anayemvutia kwa maisha na matendo yake. Mbona John Paul Second first John Paul amepatikana baada ya Mtaguso Mkuu wa Pili? Nadhani nimeeleweka.


 
Hii inathibitisha kuwa papa ni big ishu,kama sivyo kusingekua na mjadala huu!

Papa nini bana?

Yesu himself is a big issue.

 
Last edited by a moderator:
Hii inathibitisha kuwa papa ni big ishu,kama sivyo kusingekua na mjadala huu!

Papa is a minor issue, Eiyer

Jesus is the big, very big issue.

Kama hili halina umuhimu kwako, usihangaishe akili yako.Ishi " bora maisha" yako na piga usingizi.
Kama bongo bado inafanya kazi, itumie.

 
Last edited by a moderator:
Dugu zangu miafrika (miafrika ndivyo ilivyo)

Kama itatokea siku ambayo utapata ujasiri wa kusoma historia ya mtu mweusi. Je ikitokea baada ya kupitia historia na maandiko ya dini na kugundua Yesu alikuwa ni mtu(mtoto wa mungu) mweusi au wa rangi bado imani yako ya kuabudu(mtoto wa mungu/mungu)haitotetereka?

Utaweza kufikiria kumuabudu babu yako au baba yako?
Au imani yako imejengeka kuabudu Mungu/mtoto wa mungu ambaye ni mzungu/mweupe tu?

Sema na roho yako, halafu fanya utafiti, if you dare!

Ujitayarishe kuchanganyikiwa. All the best, miafrika.

Feedback after your research will be appreciated
 
Yapi hayasemeki hadharani, yatawashindeni!!

......


Mama Mdogo
Nonda ni wa dini za mababu, lakini kwa karibuni nimekuwa najisomea hizi dini za kuja na nakutana na vitu ambavyo vinanifanya yanishinde.

Ukifungua JF, mdini,udini,mdini, mkiristo, muislamu.Yesu,papa,muhamedi, mitume,majini,roho.mtakatifu.

Mama Mdogo
Unaelewa historia yote ya Papa na kanisa katoliki?

Zungumza na huyo mzee wa video, muelewane.
 
Last edited by a moderator:
jesuitpope.jpg

· TheUnhivedMind on March 13, 2013 at 10:12 pm said:
This shows the Jesuit power behind the Vatican as we have always warned you about. It is quite obvious that Adolfo Nicolas SJ the Jesuit General booted his subordinate puppet Pope Benedict XVI and replaced him with this Jesuit soldier, Jorge Mario Bergoglio a shock trooper. For the first time, the Jesuit Templars are showing their outright power. Notice they keep saying he is from the New World, if we add ‘order’ to the end we have New World Order.
This is Jesuit trick in order to bring gullible sheep back to the Vatican with a supposed Pope that is more for the modern World with a modern thinking. Benedict XVI was too wrapped up in this paedophile issue and this was not doing the Holy See any good amongst other things and thus he needed to go with the excuse of health. Even the bringing home of the Latin Kingdom in 1993 by Pope Benedict XVI as Cardinal Ratzinger could not stop the Jesuit General from removing him.
I did wonder if Angelo Scola was to be downtrodden in this election due to the way Pope Benedict XVI was booted out. Angelo Scola was being groomed by Benedict XVI for the Pope position even though Scola did not want the position knowing he would be assassinated if he got the position since he is a Venetian. What we have instead is an old man with illness put in place, this does not make any sense unless you know that this Pope should be a short term. Maybe the Jesuits do not want to have the hassle of an assassinated Pope but must have an excuse for a short Papacy before the final Pope arises who will end up being the risen Horus after being slayed and rising again. The illness will not be used to aid subordination since all Jesuits are totally subordinate to the Order and its Jesuit General.
Remember whilst others were going with Peter Turkson, I went with Angelo Scola since 2009 and a while after Scola was made the Archbishop of Milan the largest diocese in Europe and the path towards the Papacy. Then we heard about the assassination plots that were leaked naming Scola as someone who was to be assassinated after arguments that he was being groomed to be the Pope. So naysayers do not attack my past information in order to try to discourage people from my valuable work.
 
Conspiracy theories.
So macardinali wote waliompigia kura walikuwa under Jesuit spell si ndio? Nonsense!
 
Watu wanatumia nguvu nyingi kuaminisha umma, tena kwa habari ile ile yenye title tofauti
 
Another ---- of you_andrew nyerere,...shame on you.
 
Some people are tryng to belittle the church, but they won't succeed. In politics, we are used to project the winner after survey. But with the catholics no one can project the next pope. That's why I say to me the catholic church is the best. You cannot bribe the cardinals to become pope.
 
Ngoja nitafute kwanza dictionary halafu nisome tena. Vocabularies zake zilizotumika ni vocabulary. Kama mmoja atanitafsiria atakuwa amenisaidia.
 
Andrew hivi mshua ulikuwa unamshushia nondo kama hizi? I gather he was a devout Catholic, the daily mass attending type.

Alisemaje kama ulimshushia?
 
Back
Top Bottom