New Cabinet: The Alternative!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.
Kaka sijaelewa vizuri nini hasa unahitaji! Suppose nasema Mwigulu awe waziri wa Habari, itasaidia nini?Je hili linaweza kubadili baraza la mawaziri na kumfanya atengue uteuzi wake?
 
Shit!, It is Clamour idea and not supportive. We need innovate thread maaaaaaaaaaaaaan!!!!!!!!!!!
 
Kaka sijaelewa vizuri nini hasa unahitaji! Suppose nasema Mwigulu awe waziri wa Habari, itasaidia nini?Je hili linaweza kubadili baraza la mawaziri na kumfanya atengue uteuzi wake?

- Hapana atleast tutawaonyesha watawala kwamba we have an idea ya kwa nini tunawakosoa na baraza jipya, kwa mfano tuwaambie kama sio Pinda, nani kwa sasa anafaa kuliko yeye na amefanya nini hapo alipo cha kutufanya tuseme anafaa kuliko Pinda, ni ombi tu since tumeshambulia sana baraza jipya!

- Kwamba itasaidia nini? Then we need to close this JF's shop, kwani tunasaidia nini hapa anyways inaonyesha ni dalili ya kukata sana tamaa mkuu wangu, tusichoke Roma haikujengwa siku moja!

William.
 
Mkuu nimependa wazo la mdau kwamba, usiwe na hofu baraza jipya 2015, pia elewa kwamba tatizo si nani awe nani tatizo ni mfumo kaka!Mi sidhani kama kuna haka ya kujadili hoja hii, ni mtazamo wangu!
 
Mkuu nimependa wazo la mdau kwamba, usiwe na hofu baraza jipya 2015, pia elewa kwamba tatizo si nani awe nani tatizo ni mfumo kaka!Mi sidhani kama kuna haka ya kujadili hoja hii, ni mtazamo wangu!

- Ohhhh! kumbe kilio chote tunachokisia toka last week ni tatizo la mfumo tu? Sio uwezo wa mawaziri wenyewe waliochaguliwa? Sawa mkuu I got it!

William.
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

-
I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!

.

Reshuffle imefanyinka last Friday, hili baraza litakaloundwa hapa JF ni la nini? What difference would it make?

NB: kwenye red, too much 'I mean' hata sehemu ambazo hazistahili.
 
- Hapana atleast tutawaonyesha watawala kwamba we have an idea ya kwa nini tunawakosoa na baraza jipya, kwa mfano tuwaambie kama sio Pinda, nani kwa sasa anafaa kuliko yeye na amefanya nini hapo alipo cha kutufanya tuseme anafaa kuliko Pinda, ni ombi tu since tumeshambulia sana baraza jipya!

- Kwamba itasaidia nini? Then we need to close this JF's shop, kwani tunasaidia nini hapa anyways inaonyesha ni dalili ya kukata sana tamaa mkuu wangu, tusichoke Roma haikujengwa siku moja!

William.
Wewe mchango wako ni nini !? Au tufanye wewe haumo ! Blai mbona unatuchora !
 
Reshuffle imefanyinka last Friday, hili baraza litakaloundwa hapa JF ni la nini? What difference would it make?

NB: kwenye red, too much 'I mean' hata sehemu ambazo hazistahili.

- ha! ha! ha! ha! ha! hii imenivunja mbavu sana mkuu wangu! ha! ha! ha! ha!

William.
 
Wewe mchango wako ni nini !? Au tufanye wewe haumo ! Blai mbona unatuchora !

- Ha! ha! ha! ha! hapana mimi sijalalamikia baraza jipya, nilichofurahi ni kwamba ripoti ya CAG imesikilizwa tu, that to me was the best of this ishu, otherwise nilikuwa ninashangaa sana wananchi kulalama kwamba mawaziri wapya hawafai, sasa nilitegema kusikia hapa wanaofaa walioachwa, so far inaonekana hakuna! au? ha1 ha! ha!

William.
 
Mi sioni tofauti yoyote kati ya wale wa zamani na hawa wapya. Wote ni Majambazi as long unaitumikia CCM. Kwanini tuzunguke mmbuyu wakati tatizo ni CCM. Miaka 50 ya Uhuni wa CCM its enough now. Time to remove them hawa Mafisadi. Rais legelege, watendaji legelege mimi wala sioni tofauti yoyote kwenye hilo Baraza. Labda nyie wanamagamba msiokuwa na macho hamtaki kuyafungua macho yenu, hasa wewe @ New York husikii wala huoni Ufisadi uliojaa kwenye serikali ya Kikwete, serikali iliyooza na inanuka Ufisadi kila idara kuanzia Magogoni. wizarani mpaka wilayani, kilichobakia ni kuizika tu na ukichelewa @ New York tutakuzika na wewe
 
Reshuffle imefanyinka last Friday, hili baraza litakaloundwa hapa JF ni la nini? What difference would it make?

Ndio hapo sasa... how would it help?
how would our views in this thread be part of the solution?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
- Hapana atleast tutawaonyesha watawala kwamba we have an idea ya kwa nini tunawakosoa na baraza jipya, kwa mfano tuwaambie kama sio Pinda, nani kwa sasa anafaa kuliko yeye na amefanya nini hapo alipo cha kutufanya tuseme anafaa kuliko Pinda, ni ombi tu since tumeshambulia sana baraza jipya!

- Kwamba itasaidia nini? Then we need to close this JF's shop, kwani tunasaidia nini hapa anyways inaonyesha ni dalili ya kukata sana tamaa mkuu wangu, tusichoke Roma haikujengwa siku moja!

William.

Usituchore. Hata wiki mbili baraza halina. Ni vema kusubiri na kuona wanafanya nini. Tusikurupuke. Umekosa cha kuandika.

Wanavyosema kama ukipatiwa ukuu wa wilaya itakuwa ni hasara kwa taifa ideas zako mbofumbofu tuu. thats why ulikosa ubunge wa EAC the MP were very right!
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee
solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.

Solution ni kuwatoa Magamba na kuirudisga Serikali chini ya wananchi na kuwafunga Mafisadi wote walioliingiza hili Taifa kwenye Matatizo tukianzia na Mkapa, Kikwete na Mafisadi wenzao
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet
 
Back
Top Bottom