New Cabinet: The Alternative!

- Hapana atleast tutawaonyesha watawala kwamba we have an idea ya kwa nini tunawakosoa na baraza jipya, kwa mfano tuwaambie kama sio Pinda, nani kwa sasa anafaa kuliko yeye na amefanya nini hapo alipo cha kutufanya tuseme anafaa kuliko Pinda, ni ombi tu since tumeshambulia sana baraza jipya!

- Kwamba itasaidia nini? Then we need to close this JF's shop, kwani tunasaidia nini hapa anyways inaonyesha ni dalili ya kukata sana tamaa mkuu wangu, tusichoke Roma haikujengwa siku moja!

William.

Usituchore. Hata wiki mbili baraza halina. Ni vema kusubiri na kuona wanafanya nini. Tusikurupuke. Umekosa cha kuandika.

Wanavyosema kama ukipatiwa ukuu wa wilaya itakuwa ni hasara kwa taifa ideas zako mbofumbofu tuu. thats why ulikosa ubunge wa EAC the MPs were very right!
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.

Who cares??

Hivi wewe uko kundi gani la watawala au watawaliwa??

Ulikuwepo hadi kwenye sherehe za kuwaapisha hao political morons ulichukua hatua gani kumshauri japo Riz! juu ya hilo baraza?? Halafu kwa nini unapenda kusema watu wanalialia??

You are too fat to be a leader!!
 
Wile that is such exellent thought: Lakini kumbuka nchi yetu watu hupeana vyeo sio kwa uwezo bali kishikaji, Tazama wale wote walioshindwa katika masunduku ya kura walizawadiwa ukuu wa wilaya ama mkoa na nafasi nyingine nyeti ikiwepo kuwakilisha taifa letu nje kama mabalozi huku wakiwa wamekataliwa na wapiga kura, Hapa utaona ugumu lakini pia tafakari then chukua hatua why sita asiwe spika wa bunge? Kumbuka aliendesha bunge la viwango na kuleta tija katika kuikosoa na kuisimamia serikari.Hata adhabu yake ikawa kutaka kupokonywa uwanachama wa CCM. Imekuaje dakika za mwisho walete gender isue katika kiti cha uspeaker?, Ningepewa nafasi ningetoa uwaziri kutokana na profecianal ya mtu, mfano siwezi kumuweka waziri wa sheria na katiba mtu asiyesomea sheria. However sitampeleka mtu wizara ya fedha kama sio mchumi, Is shame upon us, leo hii watalamu wetu wanafanya vizuri nje ya nchi yetu huku inchini wakivurunda, hebu twende Boswana the GDP ni kubwa katika bara la Afrika.Tatizo kubwa ni irrensiponsible use of available resorces ama kwa lugha nyepesi matumizi mabaya ya rasilimali zetu. Talking about rasilimali zetu ni pamoja na watu(leaders) kama resorces, hata pale unapomchagua mlaamu wa sheria asimamie mikataba hutumia usomi wake kunyonya wengine, Na hata pale anapofanya vema hunekana mbaya hata kuundiwa zengwe la kumtoa. Look on the isues of ten percent commision, ndege ya rais, rada na mikataba mingine ming. Lakini that is superb thought your representing katika jukwaa hili, bali kama ungelikua wewe ni president hebu taja baraza lako la mawaziri then will add value kumtoa yule na kumueka yule, thus will give us clear picture kwa kua wengi tungetamani ulianzishe sisi tutafuata. Lakini kikubwa ni yule anaye wateu na commitment zake kwa wale atakao wateu. Mungu ibarik Tanzania especially on this predicament period of M4C.
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet
Duh yaani wewe umepangua na wizara kabisa! It's called innovation JK style.
 
Nimeunda likabomoka, nafikiri tatizo ni mfumo; ukimpa kazi hii Obama anaweza kuzimia na kupoteza fahamu miaka 100 mila ya kuzinduka.
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet

Mkuu Masanilo sina cha kuchangia kwenye thread hii, lakini kumbe nina mbavu za kuumia, nimecheka hadi mbavu zikaniuma kweli. Leo umeifanya siku yangu iende shuariiii
 
wewe nawe umeshindwa kupata ubunge wa EA unataka kujigonga au ni nini?

Ungetuuliza nani Chadema awe katika baraza wakichaguliwa 2015 tungekufagilia haswa humu.

Mie naona unataka kujigonga nawewe upewe kicheo huko ikulu sijui wapi ili usisahaulike.

Kwa nini wewe usiseme nani unafikiria ungetaka wawepo hapo basi watu wakuchambue listi yako, unatutumia ili kutekeleza mahitaji yako ya kwenye siasa.

hautushiki wengine, songa mbele lete mambo ya muhimu kama kasaidie wanafunzi wapate madawati na viatu wasitembee peku kwenye lami na udongo, then tuletee picha tuone umefanya kazi ya charity na wewe.
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.
Mutuz,
Nadhani hukuwaelewa walalamikaji haswa kuhusu rais kuvunja baraza la mawaziri ikiwa waliotoka ni mawaziri 6 na manaibu 2 ambao haswa ndio waliokuwa sababu ya kuvunjika kwa baraza hili. Alichotakiwa kufanya ni kuwaachisha tu kazi ama kukubali kujizuru kwao akawachagua wengine kushika nafasi zao.

Alipovunja baraza hilo wengi walitegemea mawaziri wengi sana watapoteza nafasi zao pengine kutokana na ushahidi alokuwa nao juu ya baadhi yao kutokuwa viongozi wazuri lakini alipowarudisha kwa kubadilisha tu wizara wanazosimamia inaonyesha wazi kwamba tulipoteza muda tu. Binafsi yangu naamini kwamba waziri yeyote anayeweza kusimamia wizara moja vizuri hawezi kushindwa kusimamia vizuri wizara nyingine kwa sababu anatumia ujuzi ule ule tu kama CEO wa shirika. Na kama mbovu basi hata ukimpeleka wizara gani bado ataboronga.

Nakujua vizuri sana kuwa upo shimoni sasa hivi na unawajua wazembe wote, madfisadi wote na nina hakika wewe mwenyewe unawajua mawaziri vichaka walioendelea kushika madaraka wakati wana record mbaya sana ktk utawala bora.
 
- ha! ha! ha! ha! ha! hii imenivunja mbavu sana mkuu wangu! ha! ha! ha! ha!

William.

Hi hi hi hi hi Le Mutuz The Big Show
Kuna watu wamerudishwa toka walivyo kuwa mawaziri hatujaona ufanisi wao wizarani badala wamebadilishwa wizara kama suti
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet

@Masanilo
angalau umempa william kitu alichotani, Khaaaah watu mnamabo sana, JF jukwaa la kipekee sana, hata kama umenuna utapata faraja ya mawazo , hata kama unanjaa unaweza kujikuta umeshiba.
 
Lusinde - Waziri wa Uhusiano,
Wassira - Wanawake Jinsia na Watoto,
Lowassa - Fedha,
Prof Maji Marefu - Afya.

TUMBIRI wa JF,
P.O BOX - PM JF.

:biggrin1::biggrin1: naona unataka hii serikali ishindwe hata kununua toilet papers
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet

Riz 1=Katiba na sherea
Mama Saluma kikwete=Mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa
 
- Hapana atleast tutawaonyesha watawala kwamba we have an idea ya kwa nini tunawakosoa na baraza jipya, kwa mfano tuwaambie kama sio Pinda, nani kwa sasa anafaa kuliko yeye na amefanya nini hapo alipo cha kutufanya tuseme anafaa kuliko Pinda, ni ombi tu since tumeshambulia sana baraza jipya!

- Kwamba itasaidia nini? Then we need to close this JF's shop, kwani tunasaidia nini hapa anyways inaonyesha ni dalili ya kukata sana tamaa mkuu wangu, tusichoke Roma haikujengwa siku moja!

William.
Lakini Bwana William, ni vigumu sana sisi wananchi wa kawaida kuonyesha ujuzi wetu zaidi ya watuawala kwa sababu tuna limited information kwenye maeneo mengi kuhusiana na huu uteuzi. Mathalani, kuna taarifa nyingi za kiitelijensia ambazo wateuzi wanakuwa nazo kuhusiana na hawa watu ambazo sisi wengine hatuna, hivyo hata tukitoa mapendekezo hapa, tunaweza kuwa tunafanya hivyo from the informed point of view
 
Kwa sasa hakuna sababu ya msingi kuspeculate kwamba hiyo alternative cabinet ingeweza kuperform better kuliko hii iliyoteuliwa majuzi kwa sababu 3 kuu:
1. Ni sharti itokane na wabunge wa CCMagamba - tuna kila sababu kuamini kwamba mtoto wa nyoka ni nyoka; hata wale magamba wenye nafuu wataikuta mifumo ya ubadhrifu iliyokomaa na hawawezi kuibadilisha; Prof. Anna Tibaijuka is a case in point!
2. Wana CDM hawawezi kuwamo humo; Katiba ya CCMagamba hairuhusu mseto wa aina hiyo, hali kadhalika wana CDM watachafuliwa sana na kwa kurithi uozo.
3. Mfumo wa utawala ulivyo hautoi mwanya kwa mtu clean na result oriented kuperform kwani hauna clear cut mechanism za uwajibikaji. k.m. Anthony Diallo akiwa waziri wa utalii alijaribu kumuondoa ofisini aliyekuwa mkurugenzi wa wanyama pori ikashidikana maski8ni Diallo akaondoka yeye hata ubunge wa Ilemela alikosa.
Balozi Kagasheki sio mtu wa blah blah lakini hebu fuatilia sasa pale Maliasili the guy is going to struggle; yote NI KWA SABABU YA MFUMO WA UTAWALA ULIOPO.
Mfano:
Watanzania wengi wanaamini kwamba Dr. J. pombe Magufuli is an achiever; lakini je umesahau jinsi JK na PM walivyojitahidi kumvunja nguvu kwa kutoa kauli za kumkatisha tamaa katika juhudi zake za ujenzi wa barabara?!

Tupanue wigo na kuimarisha mapambano ili kufikia a total overhaul of the sytem. iache cabinet hii ijiviringishe kwenye matope
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet

William John Malecela = Naibu waziri wa Wasira na UWT
 
Mkuu wille,

Kwanza napingana na wewe kuhusu suala la wananchi kulalamika,

Kwa ninavyofahamu mie, wapo wadau mbali mbali wakiwemo wana ccm wameridhishwa na uteuzi huo nje ya wabunge.

Kinachoangaliwa now ni uwezo na uzoefu walionao hao wateule, pia kitendo cha kuwatoa watuambao hawakuwa active

katika politics kinapunguza misuguano ya kisiasa.

Baraza lililopo linafaa sana isipokuwa waziri wa feza pale JK amechemka, subirini mtaona!
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.

Sikuwahi kuona mtu mnafiki kama wewe William. Kama kweli ulikuwa na nia ya dhati ya kupatikana kwa baraza zuri la mawaziri kwanini hukutuma hii option yako mapema kabla baraza halijasukwa. Acha unafiki kijana, I mean be real!!!
 
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- I mean toka Rais apangue Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, kumekuwa na vilio vingi sana toka sekta mbali mbali za jamii na hasa wananchi na media kwamba Baraza jipya ni wale wale tu na kwamba kwa nini Rais ameenda nje ya Bunge kutafuta mawaziri watatu wapya.

- Sasa hebu Great Thinkers tuongee solutions, tupange baraza ambalo lingefaa kutokana na Wabunge tulionao sasa, tuwataje kwa majina na nafasi ambazo wangefaa sana kuliko wale walioteuliwa karibuni na Rais. Ndio njia pekee tunaweza kusaidia watawala kuelewa walipokosea, kuliko kulia lia bila kuwapatia solutions, for once tuanze kujifunza kuwa part of solutions badala ya kuwa part of the problem kwa kulia lia bila kusema what are solutions!

MUNGU AIBARIKIE TANZANIA!


William John Samwel Malecela.

Anna Kilango Malecela & Livingston Job Lusinde
 
Lusinde L = prime Minister

Maji marefu = sayansi na technology

John Komba = utamaduni na mapenzi

Dr Mwanjelwa = Afya

Chatanda = madini

Anne Kilango = Waziri wa mambo ya hovyo hovyo

Idd Azan = Waziri mambo ya Nje

Malima Adamu = Waziri wa nyumba na guest house

I'm coming back with full cabinet
Ha ha ha ha ha ha, HII NI BABU KUBWA. Watu kama wewe ni muhimu sana kuondoa presha na hasira za watu humu jamvini. Mbavu zinauma kwa kucheka. Anyway, issue ya William haikupaswa kujibiwa kwa matusi, kejeli wala hasira. We are also required to criticise contructively. Watu tunataka viongozi waje hapa kuleta hoja zijadiliwe, wapate mawazo mapya ya kuwasaidia kuleta maendeleo. Kama hali yenyewe ndo hii, nani atakuja? Pengine William katumwa kudadisi maoni ya wadau ili baraza lipanguliwe upya kabla ya bajeti. Nani anajua kuwa Williamu hajatumwa? Mi naona mwenye mawazo mazuri ayatoe tumsaidie. Mimi naona Waziri Mkuu anafaa kuwa Samweli Sitta kutokana na rekodi yake ya nyuma. Waziri wa Ulinzi na JKT awe Salim Hamed Salim (ateuliwe kuwa mbunge viti maalum kwanza). Mwingine aendelee.
 
Back
Top Bottom