ukweli utajulikana. Kihoro kimeanza kuwaingia baada Marekani na Ufaransa kuingilia kati nini?
Nisaidie kukujibu ,kaangalie uzi unaoonyesha mazishi ya shee ilunga ndo utaelewa kama ni sahihi au siyo sahihi.mi nilikuwa najiuliza shee ilunga anapata wapi nguvu ya kutangaza hadharani watu wa dini nyingine wauawe bila woga, lkn baada ya kuona uzi ule humu jf ndo nikaelewa.Jamni Mi naomba waisilam mtuambie kwa mijibu wa dini yenu je walivyofanya boko haramu ni sahihi au si sahihi...tusaidieni kidogo juu ya hili ndugu zetu...
Wapo wanapenda vaa suluali fupi na kufuga madevu.ni watata balaaa
Askari wa wanajipatia marupurupu ya uporaji wao....hizo ndizo ahadi na motisha wa hawa mbwa wenye maumbile ya binadamu.Kweli km kuongeza imani(kuwa na siasa kali) ndio kunakuwa kubaya kuliko mbangi mbaya..ni wazi hii si dini.Kuwa hai si kuwa salama......watott wale wamebakwa sana!
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo
1. Je, ni kweli wasichana hao wamesilimu kwa hiari yao?
2. Au ndio ile dhana ya dini ya ncha ya upanga imerudi!?
=========================================================
Chanzo:BBC
Uislam hausikiJamni Mi naomba waisilam mtuambie kwa mijibu wa dini yenu je walivyofanya boko haramu ni sahihi au si sahihi...tusaidieni kidogo juu ya hili ndugu zetu...
Hapo ndipo western media zinapo tu fool. Kama walivyofanya kwa osama na fake videos na hapo wanarudia kilekile. Besides mbona hao ni kina mama na sio watoto?..wachukue tu hayo mafuta wasidhalilishe imani za watu kwa tamaa za mali.
Something isn't right here.
Hapana, islam is used for a reason hapa na Western media, au pia Local Politicians wa Nigeria. Iko kitu bandugu.
Hapana, tushadanganywa sana na Westerners since ancestral times, embu lets pull back and think! After all isnt this "THE HOME OF GREAT THINKERS!!!"
Hapana, tushadanganywa sana na Westerners since ancestral times, embu lets pull back and think! After all isnt this "THE HOME OF GREAT THINKERS!!!"
Ukienda Youtube utasikia mabint wanavyoimba kumsifu ALLAH wa boko haram
Jamni Mi naomba waisilam mtuambie kwa mijibu wa dini yenu je walivyofanya boko haramu ni sahihi au si sahihi...tusaidieni kidogo juu ya hili ndugu zetu...
Uislam hausiki
Na wewe utakuwa PRIMITIVE and You believe in Backwards like Boko Haram? Yaani una amani kwamba hao wasichana hawajatekwa na Boko Haram na kwamba ni conspiracy ya western media kuuchafua uislamu? Very funny in deed! bado unaamini kwamba Osama bin Laden yuko hai? Hapo ndiyo huwa Waislamu mnanichoshwa. Muslim terrorists huwa wanatetewa na waislamu kwa kutafuta excuse badala ya condemn their evil act. Lakini kakichorwa tu ka cartoon kama Mohammed (no offense intended) Waislamu dunia nzima wanalipuka. Kama mngekuwa mnatumia hata 1/4 ya effort kupinga huu ugaindi unaofanya kwa mwamvuli wa uislamu, kama mnavyopinga vika cartoon vya Mohammed dunia hii ingekuwa mahala salama pa kuishi. All my prayers all with that young innocent girls.
Kwa hy sasa wanaamini jua linazama kwenye tope jioni
Hakika mkuu umeandika,kuna watu sijui minds zao zipo likizo,nafikiri kungekua na mtoto wake au ndugu yake ata mmoja katika hao wasichana angeelewa lesson kwamba hawa magaidi ni watu wanaofanya dunia pasiwe sehem salama,they should be wiped away from this planet.
Na wewe utakuwa PRIMITIVE and You believe in Backwards like Boko Haram? Yaani una amani kwamba hao wasichana hawajatekwa na Boko Haram na kwamba ni conspiracy ya western media kuuchafua uislamu? Very funny in deed! bado unaamini kwamba Osama bin Laden yuko hai? Hapo ndiyo huwa Waislamu mnanichoshwa. Muslim terrorists huwa wanatetewa na waislamu kwa kutafuta excuse badala ya condemn their evil act. Lakini kakichorwa tu ka cartoon kama Mohammed (no offense intended) Waislamu dunia nzima wanalipuka. Kama mngekuwa mnatumia hata 1/4 ya effort kupinga huu ugaindi unaofanya kwa mwamvuli wa uislamu, kama mnavyopinga vika cartoon vya Mohammed dunia hii ingekuwa mahala salama pa kuishi. All my prayers all with that young innocent girls.