The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,255
- 42,874
​"…I have for long told my friends that Africans aren't mediocre people but it's a tough argument to maintain. How can you convince someone you aren't mediocre when you can't build your own home, when you can't grow enough food to feed your own people, when you can't treat your own people of disease? How can you maintain an argument that you aren't mediocre when you've thrown out all things that make you a proud African? Like building your own home?
By accepting the Chinese to build us a new home, the African Union has sold its pride. It has just announce to the whole world that we are not just useless but we are also very broke, we cannot build anything.
I refuse to accept that all the 54 countries of Africa could fail to raise USD200m that the Chinese spent on the project……"
Read full article
African Union leaders have inaugurated a new$200m headquarters, paid for by China. The complex in Addis Ababa, the capitalof Ethiopia, is a symbol of China's rapidly changing role in the region as itturns increasingly to Africa to satisfy its appetite for natural resources.
- Kama hatuwezi kuungana kujenga makao makuu yetu, tutawezaje kuwa ma mikakati madhubuti ya kuzisaidia nchi zetu kujikwamua na umasikini?
- China sio tu kwamba wamejenga na kughramia ujenzi wa hilo jengo, wataendelea kulitunza. Tuna uhakika gani kiusalama kwamba kila kinachoendelea humo hakiwi monitored au kurushwa hadi china ikizingatiwa kwamba design, na construction yote imefanywa na wachina.
- Licha ya kuwa na jengo hilo zuri, kwa aina hii ya viongozi wa Africa, kunakitu chochote cha maana kitakacholeta majawabu ya matatizo ndani ya hili jengo zuri? Do we really need such a buliding considering our poverty?
- Hii inaashiria nini kwa makampuni ya kichina kufanya kazi barani Africa, zabuni na maamuzi ya kutoa kazi zinazohusisha makampuni ya china hayatakua na conflict of interest kazi nyingi kuishia kuchukuliwa na wachina?
​
Ni kweli kabisa kwamba ni afadhali kufanya biashara na China kuliko jamaa wa western, hata hivyo ni kiasi gani Africa inapata kwenye hiyo trade?
By accepting the Chinese to build us a new home, the African Union has sold its pride. It has just announce to the whole world that we are not just useless but we are also very broke, we cannot build anything.
I refuse to accept that all the 54 countries of Africa could fail to raise USD200m that the Chinese spent on the project……"
Read full article
African Union leaders have inaugurated a new$200m headquarters, paid for by China. The complex in Addis Ababa, the capitalof Ethiopia, is a symbol of China's rapidly changing role in the region as itturns increasingly to Africa to satisfy its appetite for natural resources.
- Kama hatuwezi kuungana kujenga makao makuu yetu, tutawezaje kuwa ma mikakati madhubuti ya kuzisaidia nchi zetu kujikwamua na umasikini?
- China sio tu kwamba wamejenga na kughramia ujenzi wa hilo jengo, wataendelea kulitunza. Tuna uhakika gani kiusalama kwamba kila kinachoendelea humo hakiwi monitored au kurushwa hadi china ikizingatiwa kwamba design, na construction yote imefanywa na wachina.
- Licha ya kuwa na jengo hilo zuri, kwa aina hii ya viongozi wa Africa, kunakitu chochote cha maana kitakacholeta majawabu ya matatizo ndani ya hili jengo zuri? Do we really need such a buliding considering our poverty?
- Hii inaashiria nini kwa makampuni ya kichina kufanya kazi barani Africa, zabuni na maamuzi ya kutoa kazi zinazohusisha makampuni ya china hayatakua na conflict of interest kazi nyingi kuishia kuchukuliwa na wachina?
​
Ni kweli kabisa kwamba ni afadhali kufanya biashara na China kuliko jamaa wa western, hata hivyo ni kiasi gani Africa inapata kwenye hiyo trade?