Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #8,941
TUMWOMBEE RAIS MWENYEZI MUNGU AMPE BUSARA YA KUWAAMINI WATANZANIA NDIYO MUAROBAINI WA CHANGAMOTO ZETU.
Wakati sasa umefika wa kufutilia mbali Azimio la bunge turudi njia kuu na tutoke kwenye huu mchepuko wa kujidhalilisha wenyewe wakati kila kitu tunaweza kuwashinda wawekezaji wote waliopo duniani
Kama hamniamini nipeni nchi mwone kama hawa hawa watanzania sitawajengea mazingira madhubuti ya uwajibikaji na kuwapa malengo na anayeshindwa anachukuliwa hatua.
Tunachokosa ni uwajibikaji pale watu wanaharibu kazi.
Sasa mapungufu ya kiuwajibikaji haimaanishi tumeshindwa bali wachache wetu wameboronga fursa tulizowapa wakazitumia vibaya. Na hawakuwajibishwa hilo ndilo tatizo letu hatuna tatizo jingine.
Mama alikuwa analiendesha basi vizuri tu hadi mzee wa Msoga na genge lake wakamharibia rekodi yake nzuri ya uchapaji kazi.
Tunalaumu kwa kuwafungulia mlango sasa hii migawanyiko ya kimasilahi, dini, ukanda n.k inadai kafara moja tu kurejesha amani yetu.
Kutengua Azimio la bunge na kupitia upya mpango wa miaka 5 ya uendelezaji wa bandari zetu ikifika mahali tukiona tunahitaji wataalamu kutoka nje na mitambo tuchukue hatua na kuboresha.
Itapendeza kuona watanzania tukijiendeshea mambo yetu wenyewe kama malengo ya kujitawala yalivyokuwa
Mungu Ibariki Tanzanian Mungu mbariki Rais wetu aone busara ya kutembea na wengi hata kama ni mwendo wa konokono
Ukitaka mwendo wa kasi nenda pekee yako halafu uone umbali utakaoenda.
Wakati sasa umefika wa kufutilia mbali Azimio la bunge turudi njia kuu na tutoke kwenye huu mchepuko wa kujidhalilisha wenyewe wakati kila kitu tunaweza kuwashinda wawekezaji wote waliopo duniani
Kama hamniamini nipeni nchi mwone kama hawa hawa watanzania sitawajengea mazingira madhubuti ya uwajibikaji na kuwapa malengo na anayeshindwa anachukuliwa hatua.
Tunachokosa ni uwajibikaji pale watu wanaharibu kazi.
Sasa mapungufu ya kiuwajibikaji haimaanishi tumeshindwa bali wachache wetu wameboronga fursa tulizowapa wakazitumia vibaya. Na hawakuwajibishwa hilo ndilo tatizo letu hatuna tatizo jingine.
Mama alikuwa analiendesha basi vizuri tu hadi mzee wa Msoga na genge lake wakamharibia rekodi yake nzuri ya uchapaji kazi.
Tunalaumu kwa kuwafungulia mlango sasa hii migawanyiko ya kimasilahi, dini, ukanda n.k inadai kafara moja tu kurejesha amani yetu.
Kutengua Azimio la bunge na kupitia upya mpango wa miaka 5 ya uendelezaji wa bandari zetu ikifika mahali tukiona tunahitaji wataalamu kutoka nje na mitambo tuchukue hatua na kuboresha.
Itapendeza kuona watanzania tukijiendeshea mambo yetu wenyewe kama malengo ya kujitawala yalivyokuwa
Mungu Ibariki Tanzanian Mungu mbariki Rais wetu aone busara ya kutembea na wengi hata kama ni mwendo wa konokono
Ukitaka mwendo wa kasi nenda pekee yako halafu uone umbali utakaoenda.