ahahahahaah!!! Inawezekana kweli anajihami, lakini mbona jamaa kama kashika maua ikiwa ishara ya kuomba msamaha. Huenda waligombana kabla na mwanamke anajilinda.i guess fanya vice versa NEVER TRUST MEN,,,,,,Pic inaonyesha mwanaume haaminiki ndiyo maana mwanamke kajitayarisha kujihami just incase she gets attacked.....
QUOTE=Ulimakafu;2633336]Ilikuwaje tena?au jamaa anacheat sana?[/QUOTE]i guess fanya vice versa NEVER TRUST MEN,,,,,,Pic inaonyesha mwanaume haaminiki ndiyo maana mwanamke kajitayarisha kujihami just incase she gets attacked.....
ahahahahaah!!! Inawezekana kweli anajihami, lakini mbona jamaa kama kashika maua ikiwa ishara ya kuomba msamaha. Huenda waligombana kabla na mwanamke anajilinda.
Awahi kumpiga busu kabla kisu hakijamshukia hapo ndio itakuwa salama yake....uyo jamaa alikuwa anaenda kumuomba msamaha, na mwanamke alivyokuwa na huruma mbona atatupa kisu chini tu