Never Trust Women!

Never Trust Women!

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,921
Hapa sasa sijui nani kamkasirisha mwenzake..

mmh.jpg
 
i guess fanya vice versa NEVER TRUST MEN,,,,,,Pic inaonyesha mwanaume haaminiki ndiyo maana mwanamke kajitayarisha kujihami just incase she gets attacked.....
 
i guess fanya vice versa NEVER TRUST MEN,,,,,,Pic inaonyesha mwanaume haaminiki ndiyo maana mwanamke kajitayarisha kujihami just incase she gets attacked.....
ahahahahaah!!! Inawezekana kweli anajihami, lakini mbona jamaa kama kashika maua ikiwa ishara ya kuomba msamaha. Huenda waligombana kabla na mwanamke anajilinda.
 
uyo jamaa alikuwa anaenda kumuomba msamaha, na mwanamke alivyokuwa na huruma mbona atatupa kisu chini tu
 
Inaonekana jamaa anacheat sana, na akishtukiwa amezoea kumpoza mkewe kwa vijizawadi, sasa mkewe keshamchoka na leo atamtambua, lazima amuweke jeraha akawaonyeshe vimada wake, aache hiyo tabia, maana siku nyingine atajeruhiwa kwenye mashine yake kabisa, akose hamu hata na huyo kimada, aache upuuzi wake ili mkewe atulize hasira dhidi yake.
 
Hio picha says a lot... Kwamba the guy has played the woman a lot na siku zoote akishika maua na kuenda mbembeleza mwanamke hulainika... BUT With time mwanamke kachoka anataka kumkomesha (for mpaka mwanamke kafika huo uamuzi ina maana yamemfika shingoni!)
 
inshort jamaa keshaharibu so anataka kujisalimisha tu hana lolote
 
huyo jamaa lazima alishazoea kumchezea maigizo huyo dada.....
 
i guess fanya vice versa NEVER TRUST MEN,,,,,,Pic inaonyesha mwanaume haaminiki ndiyo maana mwanamke kajitayarisha kujihami just incase she gets attacked.....
QUOTE=Ulimakafu;2633336]Ilikuwaje tena?au jamaa anacheat sana?[/QUOTE]
ahahahahaah!!! Inawezekana kweli anajihami, lakini mbona jamaa kama kashika maua ikiwa ishara ya kuomba msamaha. Huenda waligombana kabla na mwanamke anajilinda.

jamaa amecheat huyo. anadeserve hilo li bisu.
 
uyo jamaa alikuwa anaenda kumuomba msamaha, na mwanamke alivyokuwa na huruma mbona atatupa kisu chini tu
Awahi kumpiga busu kabla kisu hakijamshukia hapo ndio itakuwa salama yake....
 
Hawa wote yaani mume na mke ni lazima wawe wana-CHADEMA.
 
Back
Top Bottom