Hehehe miungu wako wamarekani wanawaogopasasa pumba zote za nini humu nchi yenu haijiwezi Kwa lolote then utadhan wewe ni mkuu wa kitengo fulani cha kijeshi Kwa nchii unayoizungumzia kumbe hata kutengeneza diode hujui
Acha baiskel hata toothpick tunashindwakwetu siasa nyingi mkuu
wao siasa haziingilii maamuzi ya nchi sasa kwann wasiwe tishio?
sisi hata kuwaza kufungua kiwanda cha baiskeli tunashindwa dah
Hiyo hovering dance ni camouflage,Sasa hii mbona inagongwa vizuri tu. Cha ajabu ni nini?.
JF never boringUSA baby![]()
Kwa hisani ya kima ngabu![]()
Russia iko mbali huwa atengenezi silaha ili kuonyesha kwamba yeyote yupo mbali tech wise hutengeneza kucounter silaha fulani ya West na kujipa advantage in battlefield US anatengeneza toy tu a naanza kusifiaAcha baiskel hata toothpick tunashindwa
Wakati mwingine kabla ya kuposti acha ushabiki kwanza tutaelewana.Acha kuropoka ww
Marekani tu hawana itakua hyo bongo?
Watu hapa hawajui kama US wananunua Rocket Engines kutoka RussiaDo u even know why wameipa huo uwezo?
Kujifanya wajuaji tu wenzenu wanajua how technological advancement t is
Tz ya viwanda??Manuvarability ndio cha ajabu mkuu. Hakuna anaesema haiwezi kupigwa. Kifupi teknolojia iliotumika hapo ni ya hali ya juu sana. Kumbuka sisi tz hata baiskeli bado hatujaanza kuunda!
Km hutak kuheshimiwa bhas jitahd ujiheshim ht ww mwnyw sio unapayukapayuka km mwanamke Malaya bhanaSio lazima uniheshimu mkuu
Sikiliza vizuri au soma maandishi kwenye link. Hiyo in new technology ya kufikia hypersonic speed bila ya kutumia afterburners. Hawajasema kama haina afterburners.Mbona hamna afterburner....sio RC jet hiyo?

Kaka hapo ni shule ya thrust vectoring tu na dynamic nozzlesMbona hamna afterburner....sio RC jet hiyo?