Netflix imeanza kuweka format mpya ya video inayoitwa AV1

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
ba6a49c11b799f549589bec56535cda7.png
Netflix imeanza kuweka format mpya ya video inayoitwa AV1. Ni High Quality format ambayo inawezesha video kuwa na quality kubwa sana bila kutumia data sana, kuliko format za MPEG4 na HEVC.

AV1 ni format ambayo imekubaliwa kutumiwa na makampuni makubwa kama vile Amazon, Facebook, Google, Amazon, IBM, Intel, Microsoft, Mozilla, na Netflix.

YouTube TV iliweka format hiyo tangu mwaka jana katika TV zinazokubali 8K na Netflix mwaka jana ilianza kuweka format hiyo kwa watumiaji wa simu za Android.

Wiki hii TV na vifaa ambavyo vinaweza kupata update hii ni:

➤ Smart TV kubwa zote za Samsung zilizotoka kuanzia 2020 (UHD Smart TV, UHD QLED Smart TV, 8K QLED Smart TV, The Frame, The Serif, The Terrace)

➤ TV yoyote na PS4 Pro (kwa kutumia official app ya Netflix ya PS) na TV. Unaweza kutumia katika TV yoyote hata ambazo sio supported.
 
Kina Mo na Bakresa wana pesa ndefu halafu kwenye Companies zao hakuna innovation zozote za maana
Hao walicho bakiza ni kuigana hadi mmoja aanzishe na mwingine aige.
Nahisi ni uwoga wa kuanzisha kipya.

Kitaalam tunawaita Adoptive entrepreneurs
 
Hao walicho bakiza ni kuigana hadi mmoja aanzishe na mwingine aige.
Nahisi ni uwoga wa kuanzisha kipya.

Kitaalam tunawaita Adoptive entrepreneurs
Entrepreneurs wetu huku kina Mo, hawana vision
Na hawapo willing ku take risk ya fedha kuangalia namna gani wanaweza kuja na innovation ya kwao ambayo kimsingi inaweza kutengeneza entirely new Market

FAANG companies zimeweza kutengeneza Market za kwao kwa ku embrace innovation

Huku kuna Mo energy, Azam energy na Jembe energy

Kimsingi pachika "Mo" kwenye bidhaa yoyote ya kawaida na hapo utapata aina za innovation wanazoweza

The reason wapo kwenye market na moja tu...

Ndio pekee wenye pesa, na kwa sababu huku hakuna investors wenye uthubutu wa ku fund new ideas
 
Entrepreneurs wetu huku kina Mo, hawana vision
Na hawapo willing ku take risk ya fedha kuangalia namna gani wanaweza kuja na innovation ya kwao ambayo kimsingi inaweza kutengeneza entirely new Market

FAANG companies zimeweza kutengeneza Market za kwao kwa ku embrace innovation

Huku kuna Mo energy, Azam energy na Jembe energy

Kimsingi pachika "Mo" kwenye bidhaa yoyote ya kawaida na hapo utapata aina za innovation wanazoweza

The reason wapo kwenye market na moja tu...

Ndio pekee wenye pesa, na kwa sababu huku hakuna investors wenye uthubutu wa ku fund new ideas
Nyie jamaa hampo serious aisee? Kwamba Bilionea hana vision? Unafikiri unakuwa tu bilionea kwa kuuza na kununua? Unaweza ukapewa Bilioni 1 na ukashindwa kuikuza, hakuna Bilionea asie na vision.

Hizi ni innovations chache Za hawa jamaa.

1.chupa za plastic, kwa wale waliozaliwa zamani soda zilikuwa ni Coke ama pepsi tena za Chupa, Bakhresa ndio wa kwanza Kuleta chupa za plastiki kwa wingi na kuforce hayo makampuni makubwa ku adapt.

2. Flavour tofauti, Vitu kama Apple punch (zamani apolina), Fursana, ukwaju etc ni flavour za ki local zaidi na ni ngumu kuzikuta International brand.

3. Studio za Azam pengine ukitoa dstv hakuna kituo cha TV kinachowafikia huku Africa, hawa pekee wana mambo kibao, kuweka ligi zote East Africa kwenye tv, kuleta Chanel za HD Tanzania, camera za Kisasa, app za simu na mambo kibao.

4. Azam pay inayofanya kazi kama Paypal kuhamisha fedha kimataifa.

5. Huyo Mo pamba ananunua Malaki ya Tani na zote zinatengenezewa Bidhaa humu humu Tanzania, Kuanzia Mashuka ya Kimasai, kanga na Vitenge, Mashuka ya kulalia, ya Shule etc tena anazo hadi za Cotton ambazo Tanzania Viwanda ni vya kuhesabu.

6. Siku zote Mo yeye ni mtu wa makombo, kitu ambacho watu wanakiacha kama Katani yeye anabeba na anafanikiwa unafikiri hii ni sifa ya mtu asie na Vision na Innovations?
 
hii inakuaje hii?ni kwa tv zote iko updated au baadhi ya version tu za tv?
ili uangalie kwa Av1 codecs inabidi uwe na hardware husika na kwa sasa ni vifaa vichache sana vinavyo, hivyo kama tv ama kifaa chako haki support utaangalia tu kwa codecs za zamani kama VP8/VP9 ama x264
 
Entrepreneurs wetu huku kina Mo, hawana vision
Na hawapo willing ku take risk ya fedha kuangalia namna gani wanaweza kuja na innovation ya kwao ambayo kimsingi inaweza kutengeneza entirely new Market

FAANG companies zimeweza kutengeneza Market za kwao kwa ku embrace innovation

Huku kuna Mo energy, Azam energy na Jembe energy

Kimsingi pachika "Mo" kwenye bidhaa yoyote ya kawaida na hapo utapata aina za innovation wanazoweza

The reason wapo kwenye market na moja tu...

Ndio pekee wenye pesa, na kwa sababu huku hakuna investors wenye uthubutu wa ku fund new ideas
Kweli wajasiriamali wetu wanaogopa kutake risk kwa kuanzisha kitu kipya.
Hasa hasa wao wame base kucopy kilicho sokoni.
 
Entrepreneurs wetu huku kina Mo, hawana vision
Na hawapo willing ku take risk ya fedha kuangalia namna gani wanaweza kuja na innovation ya kwao ambayo kimsingi inaweza kutengeneza entirely new Market

FAANG companies zimeweza kutengeneza Market za kwao kwa ku embrace innovation

Huku kuna Mo energy, Azam energy na Jembe energy

Kimsingi pachika "Mo" kwenye bidhaa yoyote ya kawaida na hapo utapata aina za innovation wanazoweza

The reason wapo kwenye market na moja tu...

Ndio pekee wenye pesa, na kwa sababu huku hakuna investors wenye uthubutu wa ku fund new ideas
So far innovation yako Ni ipi mpk Sasa kwny Kampuni zako.
 
hii inakuaje hii?ni kwa tv zote iko updated au baadhi ya version tu za tv?
Baadhi mfano

➤ Smart TV kubwa zote za Samsung zilizotoka kuanzia 2020 (UHD Smart TV, UHD QLED Smart TV, 8K QLED Smart TV, The Frame, The Serif, The Terrace)

➤ TV yoyote na PS4 Pro (kwa kutumia official app ya Netflix ya PS) na TV. Unaweza kutumia katika TV yoyote hata ambazo sio supported.
 
Nyie jamaa hampo serious aisee? Kwamba Bilionea hana vision? Unafikiri unakuwa tu bilionea kwa kuuza na kununua? Unaweza ukapewa Bilioni 1 na ukashindwa kuikuza, hakuna Bilionea asie na vision.

Hizi ni innovations chache Za hawa jamaa.

1.chupa za plastic, kwa wale waliozaliwa zamani soda zilikuwa ni Coke ama pepsi tena za Chupa, Bakhresa ndio wa kwanza Kuleta chupa za plastiki kwa wingi na kuforce hayo makampuni makubwa ku adapt.

2. Flavour tofauti, Vitu kama Apple punch (zamani apolina), Fursana, ukwaju etc ni flavour za ki local zaidi na ni ngumu kuzikuta International brand.

3. Studio za Azam pengine ukitoa dstv hakuna kituo cha TV kinachowafikia huku Africa, hawa pekee wana mambo kibao, kuweka ligi zote East Africa kwenye tv, kuleta Chanel za HD Tanzania, camera za Kisasa, app za simu na mambo kibao.

4. Azam pay inayofanya kazi kama Paypal kuhamisha fedha kimataifa.

5. Huyo Mo pamba ananunua Malaki ya Tani na zote zinatengenezewa Bidhaa humu humu Tanzania, Kuanzia Mashuka ya Kimasai, kanga na Vitenge, Mashuka ya kulalia, ya Shule etc tena anazo hadi za Cotton ambazo Tanzania Viwanda ni vya kuhesabu.

6. Siku zote Mo yeye ni mtu wa makombo, kitu ambacho watu wanakiacha kama Katani yeye anabeba na anafanikiwa unafikiri hii ni sifa ya mtu asie na Vision na Innovations?
Kama hizo points ulizo list hapo kwako ni "innovation".....basi inawezekana hujui maana ya innovation

Hivyo vyote ulivyotaja hapo, vilikuepo years kabla hawaja vi incorporate kama parts ya bidhaa zao

Kuchukua idea au bidhaa inayofanya vizuri nchi fulani na kui import kwako sio innovation

Nini maana ya innovation kwako?

Ma billionaires wetu still hawana vision, thus why miaka na miaka itapita lakini net worth ya Mo ipo almost vile vile...

Hawapo willing ku take risk, hawa innovate
 
Nyie jamaa hampo serious aisee? Kwamba Bilionea hana vision? Unafikiri unakuwa tu bilionea kwa kuuza na kununua? Unaweza ukapewa Bilioni 1 na ukashindwa kuikuza, hakuna Bilionea asie na vision.

Hizi ni innovations chache Za hawa jamaa.

1.chupa za plastic, kwa wale waliozaliwa zamani soda zilikuwa ni Coke ama pepsi tena za Chupa, Bakhresa ndio wa kwanza Kuleta chupa za plastiki kwa wingi na kuforce hayo makampuni makubwa ku adapt.

2. Flavour tofauti, Vitu kama Apple punch (zamani apolina), Fursana, ukwaju etc ni flavour za ki local zaidi na ni ngumu kuzikuta International brand.

3. Studio za Azam pengine ukitoa dstv hakuna kituo cha TV kinachowafikia huku Africa, hawa pekee wana mambo kibao, kuweka ligi zote East Africa kwenye tv, kuleta Chanel za HD Tanzania, camera za Kisasa, app za simu na mambo kibao.

4. Azam pay inayofanya kazi kama Paypal kuhamisha fedha kimataifa.

5. Huyo Mo pamba ananunua Malaki ya Tani na zote zinatengenezewa Bidhaa humu humu Tanzania, Kuanzia Mashuka ya Kimasai, kanga na Vitenge, Mashuka ya kulalia, ya Shule etc tena anazo hadi za Cotton ambazo Tanzania Viwanda ni vya kuhesabu.

6. Siku zote Mo yeye ni mtu wa makombo, kitu ambacho watu wanakiacha kama Katani yeye anabeba na anafanikiwa unafikiri hii ni sifa ya mtu asie na Vision na Innovations?
Shukurani mkuu kwa nyongeza hiyo iliyo shiba
 
Kama hizo points ulizo list hapo kwako ni "innovation".....basi inawezekana hujui maana ya innovation

Hivyo vyote ulivyotaja hapo, vilikuepo years kabla hawaja vi incorporate kama parts ya bidhaa zao

Kuchukua idea au bidhaa inayofanya vizuri nchi fulani na kui import kwako sio innovation

Nini maana ya innovation kwako?

Ma billionaires wetu still hawana vision, thus why miaka na miaka itapita lakini net worth ya Mo ipo almost vile vile...

Hawapo willing ku take risk, hawa innovate
Kwanza tofautisha invention (ugunduzi) na innovation, ukiwa na idea yoyote ile ambayo inaweza kupata wateja ambao zamani ulikuwa huwapati hio ni innovation.

Mfano watu walikuwa wanakunywa soda kwenye Chupa za dongo, ukimaliza kunywa soda unarudisha chupa. Hii inasababisha mtu kunywa soda kwa muuzaji ili arudishe chupa ya watu.

Then mwengine akaleta chupa za plastiki, unanunua unasepa na chupa yako, hio tayari ni innovation, hata kama idea ilikuwepo eneo jengine ukiweka eneo lako as long as market ipo na ni positive kwa organisation hio ni innovation.

Invention ndio ugunduzi ambayo ile unasajili kabisa idea kwenye vyombo husika na mtu akitumia unaweza ukamshitaki. Hii inakuwa ni kitu kipya kabisa ambacho zamani hakikuwepo.

Na si kweli kwamba Matajiri wa Tanzania Utajiri hauongezeki. Miaka kadhaa iliopita mzee Gulam utajiri wake ulikuwa ni around 500m sasa hivi Mo kafika zaidi ya 1B usd. Same kwa Bakhresa nae anakaribia huko.

Na ukumbuke hela za madafu zinashuka thamani kila siku, hivyo kila zikishuka thamani utajiri wao nao unashuka, hivyo utajiri wao ni ulitakiwa uwe mkubwa zaidi kama hela yetu ingekuwa stable.
 
Entrepreneurs wetu huku kina Mo, hawana vision
Na hawapo willing ku take risk ya fedha kuangalia namna gani wanaweza kuja na innovation ya kwao ambayo kimsingi inaweza kutengeneza entirely new Market

FAANG companies zimeweza kutengeneza Market za kwao kwa ku embrace innovation

Huku kuna Mo energy, Azam energy na Jembe energy

Kimsingi pachika "Mo" kwenye bidhaa yoyote ya kawaida na hapo utapata aina za innovation wanazoweza

The reason wapo kwenye market na moja tu...

Ndio pekee wenye pesa, na kwa sababu huku hakuna investors wenye uthubutu wa ku fund new ideas
Unataka Mo akutengenezee tv au speaker?
 
Back
Top Bottom