Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,207
- 32,704
Wanaukumbi.
Netanyahu to the Israeli prisoners’ families: I will not be able to return them all, and the families left the meeting angry.
Sources: Hebrew Channel 12, Al Jazeera.
🚨🇵🇸 Hamas RESPONDS to NETANYAHU:
"There will be no negotiations or exchange of detainees until Israel’s aggression against the Gaza strip stops.
We hold Netanyahu fully responsible for the lives of the Israeli hostages and for obstructing the completion of the exchange deall.
=========================
Netanyahu alikuwa na mkutano na familia za Mateka wa Israeli, baada kuulizwa vipi ndugu zetu lini watarudi. Akawajibu kuwa sitaweza kuwarudisha wote, wana familia wote wakaondoka kwenye mkutano kwa hasira.
Vyanzo: Kiebrania Channel 12, Al Jazeera
Hamas WAJIBU KWA NETANYAHU:
"Hakutakuwa na mazungumzo au kubadilishana Mateka na Wafungwa hadi uchokozi wa Israeli dhidi ya ukanda wa Gaza ukome.
Tunamwajibisha Netanyahu kikamilifu kwa maisha ya mateka wa Israel na kuzuia kukamilika kwa makubaliano ya kubadilishana wafungwa.
Netanyahu to the Israeli prisoners’ families: I will not be able to return them all, and the families left the meeting angry.
Sources: Hebrew Channel 12, Al Jazeera.
🚨🇵🇸 Hamas RESPONDS to NETANYAHU:
"There will be no negotiations or exchange of detainees until Israel’s aggression against the Gaza strip stops.
We hold Netanyahu fully responsible for the lives of the Israeli hostages and for obstructing the completion of the exchange deall.
=========================
Netanyahu alikuwa na mkutano na familia za Mateka wa Israeli, baada kuulizwa vipi ndugu zetu lini watarudi. Akawajibu kuwa sitaweza kuwarudisha wote, wana familia wote wakaondoka kwenye mkutano kwa hasira.
Vyanzo: Kiebrania Channel 12, Al Jazeera
Hamas WAJIBU KWA NETANYAHU:
"Hakutakuwa na mazungumzo au kubadilishana Mateka na Wafungwa hadi uchokozi wa Israeli dhidi ya ukanda wa Gaza ukome.
Tunamwajibisha Netanyahu kikamilifu kwa maisha ya mateka wa Israel na kuzuia kukamilika kwa makubaliano ya kubadilishana wafungwa.