Vupu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,769
- 1,246
Biblia haisemi hayo uliyoandkaIsrael kuna dini tatu...uyahudi,ukristo na uislam...dini ya Uyahudi ambayo Netanyahu ni muumini wake wana kitabu cha kitakatifu kinachoitwa TANAKA....wana Mungu wao anaeitwa EL SHADAI na wana nabii wao anaitwa YAHUDHA...kutokana na jina la nabii wao yahudha ndi wakajiita wayahud, yaani wafuasi wa yahudha...Yesu hawamtambui na kwenye kitabu chao hayupo!