Lenana
JF-Expert Member
- Oct 10, 2010
- 421
- 79
To be honest nimeshakua mteja wa huduma za Internet za Vodacom,Zantel na Airtel 3G na makazi yangu ni Arusha, huduma zote nilizoainisha zipo slow hakuna mfano haswa ukizingatia nature ya kazi yangu ila kwa sasa nimenunua modem ya Airtel 3.75G ina kasi ya ajabu hakuna mfano wake. I used to prefer Zantel over the Vodacom & Airtel but now I am very comfortable with Airtel 3.75G.