Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
Wana JF kwa wale wanaotumia net ya Airtel, niliambiwa toka wafunge mtambo wao wa 3.75G net yao imekuwa slow kuliko maelezo. Nikasema ngoja nijaribu, ni kweli iko slow sana, inakamata EDGE tu hapa kwangu Kunduchi
Je, kuna wengine waliokutana na hili tatizo?
Je, kuna wengine waliokutana na hili tatizo?