grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Hata dereva wa magari makubwa humpati kwa mshahara huo. Bora niendelee kujiajiri mwenyewe tu, kwanza sikutani na PAYE zao, hapo bado hujakatwa michango ya vyama vya wafanyakazi, hujakopa wakukate nk.kwa siku ni 32,000/-
Ukijiajiri mwenyewe TRA mnakutana nao maramoja kwa mwaka, muajiriwa kila mwezi TRA wanahemea mgongoni ukijumlisha kwa miezi 12 muajiriwa anajikuta analipa kodi hata mara kumi ya mwenye duka kubwa Kariakoo.