mkeyamasai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 383
- 153
Mnanitamanisha nikasome tax management
Nenda kasome lakini kama unajijua huna connection mahali pale na gpa yako haitakua nzuri..bora uache utajipotezea mda tu
Mnanitamanisha nikasome tax management
Nenda kasome lakini kama
unajijua huna connection mahali pale na gpa yako haitakua nzuri..bora
uache utajipotezea mda tu
kama ndio hivyo natakiwa nijiajiri sasa hiyo au ndio wanataka hawa watu wawe wezi na mifumuko ya bei ilivyo juu jamani
Kwa wanaotoka vyuoni wataiona ni hela na si mbaya kuanza nayo, lakini kwa tuliowahi kuajiliwa zamani hiyo ni kiasi cha mboga tu!
hivi ndugu umeshawahi kulima wewe au unakisikia kilimo cha jembe mkono?Kwa mwaka ni 11,520,000/= ukijiajiri kwa kulima vitunguu eka 4 na mahindi eka 5 unaingiza zaidi ya 16m kwa mwaka
acha kukariri maisha ndugu kila mtu ana bahati yake!Nenda kasome lakini kama unajijua huna connection mahali pale na gpa yako haitakua nzuri..bora uache utajipotezea mda tu
kweli kaka. watanzania tunadharau kilimo, wajanja kinawatoa
Pia si nasikia kama huna g.p.a ya upper second au first class tra huingii!!?
natanguliza hongera zangu kwa wale ambao watakuja kufanikiwa kulipwa tzs 960,000 pale tra,wakipita aptitude test na interview. Good be with you all
Hapo bado haujakatwa,take home itakuwa ya kawaida sana.
kwa tra hata wakiniambia ifanye kazi bure mimi nitaenda tu,kule watu wanajilipa mara 20 ya huo mshahara
Kwani hiyo mijumba mnayoporomosha kila siku ya ma bilioni ni mishahara yenu?si tunaishi na nyinyi mitaani na tunajua matanuzi yenu,labda hii system mpya ya kulipia ushuru kupitia MPESA kama ndiyo itakuwa kikwazo kwenu,That is why idara yenu zamani ilikuwa inaitwa KAZITAMU [CUSTOM]una wazimu wewe,wanajilipa kwa utaratibu gan sasahiv mnachukulia poa sana.bla shaka we ni mgen wa utumish wa umma.
Natanguliza hongera zangu kwa wale ambao watakuja kufanikiwa kulipwa tzs 960,000 pale tra,wakipita aptitude test na interview. Good be with you all