Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,158
- 1,227
Habari,
Rejeeni kichwa cha mada hapo juu.Nimepata changamoto nilipokuwa nataka kuweka baadhi ya programs kwenye PC yangu.Nikifanya configuration&installation nakwama inasema run/install .NET Framework 4.0.Sasa pamoja na jitihada zangu za skills kidogo kwenye software NIMEKWAMA.Nawasilisha kwenu Wabobezi kwa ufumbuzi,ushauri na maelekezo yenu.
Natanguliza Shukrani zangu za Dhati
Nawasilisha.
Rejeeni kichwa cha mada hapo juu.Nimepata changamoto nilipokuwa nataka kuweka baadhi ya programs kwenye PC yangu.Nikifanya configuration&installation nakwama inasema run/install .NET Framework 4.0.Sasa pamoja na jitihada zangu za skills kidogo kwenye software NIMEKWAMA.Nawasilisha kwenu Wabobezi kwa ufumbuzi,ushauri na maelekezo yenu.
Natanguliza Shukrani zangu za Dhati
Nawasilisha.