ItawakostiAisee mbona mnamlalamikia tu huyo Gwajima! Wekeni na clip ya kusindikizia haya malalamiko basi.
By the way, Gwajima ni ccm! Kulindana na kubebana, ni jambo la kawaida.
Freedom gani yenye double standard za kubambikia hata ugaidi wanao itumia hiyo freedom. Almuradi ni mpinzani ila mwanakijani ruksa kufanya lolote. Huo ni udhaifu tena wakimfumo, hata uliokuwa organized kwa manufaa ya makundi nufaika, au yenye kuyatazama malengo yao.Simuungi mkono gwajima ila pia kosa lake silioni as far as freedom of speech and freedom of expression is concerned rashidi ana hoja na hoja hupingwa kwa hoja wakumjibu ni waziri wa afya na si IGP
hivi mpotoshaji kama huyu anaeanzia miguuni i mean kwa wauminiSimuungi mkono gwajima ila pia kosa lake silioni as far as freedom of speech and freedom of expression is concerned rashidi ana hoja na hoja hupingwa kwa hoja wakumjibu ni waziri wa afya na si IGP
Hawawezi na hawathubutu kufanya hivyo sababu wanazijua wenyewe.Kifanywacho na mamlaka kumhusu gwajima ndicho kilitakuwa kifanyike kwa raia wote ,maana kwa mjibu ya katiba yetu,wanao Uhuru wa kutoa maoni,kutafuta habari na kutoa maoni.Na kama selikali iliyoko ni selikali yavwatu iliyowekwa na watu,basi hoja siyo kupigwa wala kuswekwa rumande,hao wenye maswali na hoja zao basi wajibiwe na hoja bora zaidi ili kukata kiu ya hofu na wasiwasi walionao.
Ni kweli . lakini huoni upendeleo wa wazi .ingekuwa wapinzani wangeoneshwa cha mtema kuni chiefSimuungi mkono gwajima ila pia kosa lake silioni as far as freedom of speech and freedom of expression is concerned rashidi ana hoja na hoja hupingwa kwa hoja wakumjibu ni waziri wa afya na si IGP
Kweli kabisa, hoja hupingwa kwa hoja, ila mtoa hoja wala mjibu hoja asiwe mpinzani, hasa asiwe CHADEMA !!Simuungi mkono gwajima ila pia kosa lake silioni as far as freedom of speech and freedom of expression is concerned rashidi ana hoja na hoja hupingwa kwa hoja wakumjibu ni waziri wa afya na si IGP
Kweli kabisa, hoja hupingwa kwa hoja, ila mtoa hoja wala mjibu hoja asiwe mpinzani, hasa asiwe CHADEMA !!
Hapa hakuna mrengo wa kushoto wala wa kulia. ccm wanajua kwamba hawana chao, ndio maana wanajificha kwenye mbeleko ya polisiAhahaha siasa za mlengo wa kushoto
Hii mbeleko ni mbaya sana maana watu wakichoka wanachokaga mazimaHapa hakuna mrengo wa kushoto wala wa kulia. ccm wanajua kwamba hawana chao, ndio maana wanajificha kwenye mbeleko ya polisi
Mara tuu unapo amua kwenda upinzani tayari u 4jitayarisha kwa vyovyote. Jee ulitegea kuwa upinzani halafu CCM wakuone wao na wakuokote??Hii inchi ina mambo ya kipumbavu sana na ndio maana haisongi mbele maana hata taratibu tulizojiwekea wenyewe zinatekelezwa kibaguzi.
Pata picha ingekuwa wapinzani ndio wanaopinga kifanywacho na serikali kuhusu chanjo na kutoa kashfa kejeli kwa serikali kama afanyavyo Gwajima. Wangekuwa Rumande siku nyingi na majeraha ya vipigo.
Mbowe yuko mahabusu kwa mashitaka ya kubambikia, kuna wapinzani wako mahabusu kwa kubeba mabango ya kupinga uonevu.
Kuna wapinzani wamekamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kosa la kumuombea Mbowe.
Kuna wapinzani wako mahabusu kwa kufanya vikao vya ndani vya chama.
Wakati huohuo mchungaji Gwajima anaikashifu serikali na viongozi wake hakuna anayekohoa. Sio Sirro, wala askari yeyote. Sio Rais aliyeibuka kuongelea kesi Mbowe, si yeyote hata huko chamani wote wameufyata.
Mbowe anatuhumiwa kwa ugaidi. Tatizo nyie upinzani mnaona kama mbowe ndio rais wenu wa nchi. Hili lilileta shida kisiwani enzi zile hamad anataka na yeye vimulimuli na pikipiki barabarani.Hii inchi ina mambo ya kipumbavu sana na ndio maana haisongi mbele maana hata taratibu tulizojiwekea wenyewe zinatekelezwa kibaguzi.
Pata picha ingekuwa wapinzani ndio wanaopinga kifanywacho na serikali kuhusu chanjo na kutoa kashfa kejeli kwa serikali kama afanyavyo Gwajima. Wangekuwa Rumande siku nyingi na majeraha ya vipigo.
Mbowe yuko mahabusu kwa mashitaka ya kubambikia, kuna wapinzani wako mahabusu kwa kubeba mabango ya kupinga uonevu.
Kuna wapinzani wamekamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kosa la kumuombea Mbowe.
Kuna wapinzani wako mahabusu kwa kufanya vikao vya ndani vya chama.
Wakati huohuo mchungaji Gwajima anaikashifu serikali na viongozi wake hakuna anayekohoa. Sio Sirro, wala askari yeyote. Sio Rais aliyeibuka kuongelea kesi Mbowe, si yeyote hata huko chamani wote wameufyata.
Akiwa kama kiongozi huwa kuna kitu kinaitwa collective responsibility.... Kumbuka yeye ni mbunge hapo ni mbunge fekiKwani amefanya kosa gani haswa mpaka akemewe?
Kuyasusa machanjo ndio kosa lake?