kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,630
- 5,135
Hii inchi ina mambo ya kipumbavu sana na ndio maana haisongi mbele maana hata taratibu tulizojiwekea wenyewe zinatekelezwa kibaguzi.
Pata picha ingekuwa wapinzani ndio wanaopinga kifanywacho na serikali kuhusu chanjo na kutoa kashfa kejeli kwa serikali kama afanyavyo Gwajima. Wangekuwa Rumande siku nyingi na majeraha ya vipigo.
Mbowe yuko mahabusu kwa mashitaka ya kubambikia, kuna wapinzani wako mahabusu kwa kubeba mabango ya kupinga uonevu.
Kuna wapinzani wamekamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kosa la kumuombea Mbowe.
Kuna wapinzani wako mahabusu kwa kufanya vikao vya ndani vya chama.
Wakati huohuo mchungaji Gwajima anaikashifu serikali na viongozi wake hakuna anayekohoa. Sio Sirro, wala askari yeyote. Sio Rais aliyeibuka kuongelea kesi Mbowe, si yeyote hata huko chamani wote wameufyata.
Pata picha ingekuwa wapinzani ndio wanaopinga kifanywacho na serikali kuhusu chanjo na kutoa kashfa kejeli kwa serikali kama afanyavyo Gwajima. Wangekuwa Rumande siku nyingi na majeraha ya vipigo.
Mbowe yuko mahabusu kwa mashitaka ya kubambikia, kuna wapinzani wako mahabusu kwa kubeba mabango ya kupinga uonevu.
Kuna wapinzani wamekamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kosa la kumuombea Mbowe.
Kuna wapinzani wako mahabusu kwa kufanya vikao vya ndani vya chama.
Wakati huohuo mchungaji Gwajima anaikashifu serikali na viongozi wake hakuna anayekohoa. Sio Sirro, wala askari yeyote. Sio Rais aliyeibuka kuongelea kesi Mbowe, si yeyote hata huko chamani wote wameufyata.