The got
JF-Expert Member
- Jun 26, 2021
- 367
- 390
Viongozi wa nchi hii ukiona wanashituka na kuhangaika sana, ujue ni kitu kinachotishia madarska yao. Hakuna kitu atafanya mwana CCM kitatushia madaraka yao.
Mpinzani yeyote atskacho fanya ingawa kizuri athari zake kwa madaraka yao ni kubwa hivyo viongizi hata kama kitafanyika katika level ya mtaa, watakiogopa na kutumia nguvu zote za dola ili kukizima kabla hakija amsha watu wengi nchini.
Mfano mzuri katiba, hakuna mwanaCCM utamsikia anazungumzia katiba, kitu ambacho ndo shida kiini ya watanzania. Mtu yeyote akizungumza kuhusu katiba, viongozi wapo tayari kutolala hats juma zima mpaka wazime usikivu wa huyo mtu.
Kifupi Gwajima hana athari kwa madaraka yao. Mpinzani yeyote akiongea, viongizi huogopa sana mana ni kuruhusu mwamko kwa wananchi dhidi yao.
Mpinzani yeyote atskacho fanya ingawa kizuri athari zake kwa madaraka yao ni kubwa hivyo viongizi hata kama kitafanyika katika level ya mtaa, watakiogopa na kutumia nguvu zote za dola ili kukizima kabla hakija amsha watu wengi nchini.
Mfano mzuri katiba, hakuna mwanaCCM utamsikia anazungumzia katiba, kitu ambacho ndo shida kiini ya watanzania. Mtu yeyote akizungumza kuhusu katiba, viongozi wapo tayari kutolala hats juma zima mpaka wazime usikivu wa huyo mtu.
Kifupi Gwajima hana athari kwa madaraka yao. Mpinzani yeyote akiongea, viongizi huogopa sana mana ni kuruhusu mwamko kwa wananchi dhidi yao.