Neno 'sina' ni muhimu sana

Neno 'sina' ni muhimu sana

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
540
Reaction score
2,226
Utaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe

Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu anaekuomba pesa ila niamini mimi ni neno lenye msaada mkubwa sana kwako ukilitumia,mtu hawezi kukuhoji asa kwanini huna hela na wakati na yeye mda huo hana hela pia ndio mana kakufata wewe.

Kuna jamaa kanisumbua sana 30k yangu hataki kunilipa,Kazi tunafanya ni Moja,ugumu wa kupata hela anaujua..ila akawa anajifanya mjanja...siwakaanzisha mchezo afu wakanichagua niwe nawawekea hela linapofika jina nampa anaepokea kwa kuwa wananiamini...nikasema hapa hapa na fyeka na hela yangu ilipofika zamu yake.
Alilalamika.,,,Kuna watu wanajua kulalamika aisee.
 
MTU akikuomba na yupo katika shida endelevu usimpe pesa Ila mtafutie fursa ambayo atapata hiyo pesa na kuendesha Maisha yake.

Na ukimkopa MTU hakikisha upo tayari kuipoteza hiyo hela.

Ndugu , marafiki wa karibu hao usieakopeshe hela kabisa give them for free or say no .
 
Mimi nakwambia tu SINA mwanangu ukinichukia powa tuu habari za kudaiana siwezi. Huwa sipendi kukopa pia.

Kuna watu wana mioyo migumu asee, unakuta simu ya mkopo, bodaboda ya mkopo, songesha mkopo, timiza mkopo, mtaani mikopo hivi mnawezaje hizi stress
 
Utaratibu wangu mimi ni huwa sikopi kwa mtu, wala kukopeshwa na mtu,kwa sababu huwa inapelekea urafiki kufa kabisa huko mbeleni,mimi huwa nanuna na mambo yangu mpka natatua changamoto zangu mwenyewe

Neno sina linamaliza kabisa utata japo huonekana kuwa ni lakikatiri sana unapomjibu mtu anaekuomba pesa ila niamini mimi ni neno lenye msaada mkubwa sana kwako ukilitumia,mtu hawezi kukuhoji asa kwanini huna hela na wakati na yeye mda huo hana hela pia ndio mana kakufata wewe.

Kuna jamaa kanisumbua sana 30k yangu hataki kunilipa,Kazi tunafanya ni Moja,ugumu wa kupata hela anaujua..ila akawa anajifanya mjanja...siwakaanzisha mchezo afu wakanichagua niwe nawawekea hela linapofika jina nampa anaepokea kwa kuwa wananiamini...nikasema hapa hapa na fyeka na hela yangu ilipofika zamu yake.
Alilalamika.,,,Kuna watu wanajua kulalamika aisee.
Umeikata simulizi hii muhimu!
Katika malakamiko yake alidai nini tena?
 
Kusema kweli sina hata mbuni yaani mbwiii mbwaa
...neno very useful 🤣🤣
 
Back
Top Bottom