Neno moja kwa dogo

Mwenyezi Mungu ana maksudi yake kwa Kila jambo.... hvyo hatuna haja ya kubeza uumbaji wake. ....
Mbwa ni kiumbe rafki sana wa binadamu inauma sana pale kiumbe rafki kinapotoweka
Lakini kuna watu wana imani na dini yao wanasema yeye ni haramu hata kuliko mbuzi wa dini ya vatican, tena wanasema yule mweusi tii pua yake yale majimaji ni hatari zaidi ya shetani
 
Mbwa kwa wazungu wanavyowachulia ni tofauti na sisi. Nilipata shost mzungu alikuja kama mtaalamu wa shirika fulani. Huyu dada alifuga mbwa wawili alitoka nao kwao.

Hawa mbwa waliringa na kudeka, ukiingia ndani kama wako kwenye kochi wala hawastuki ni wewe ndiyo utafute pa kuweka kalio.

Kazi ilikuwa mataulo walichanganya, akisha waogesha ana wafuta na taulo kisha anakifua kwenye mashine. Mashine hiyo hiyo anafulia mataulo ya jikoni ya kukaushia vyombo.

Ndipo nilipoacha kula kwa shost, hata kikombe cha chai.
 
Huyo ndio alikuwa ananifaa awe best yangu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tatizo nawewe ni sukununu sana,na ungeendelea kuchunguza zaidi huwenda walikuwa wakila pamoja usipokuwepo.
 
Naamini hamna wahehe humu maana comment nyingi zinaonyesha sympathy kuliko ......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…