Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina ya mbwa kipindi hiko ni boby, choksi, rafiki yangu alilia mbwa wake kwa jina la lamu alivyokufa,ilikua miaka ya nyuma sanaMbwa kala chakula cha sumu dogo kaanzisha msibaView attachment 1026084
Imekumbusha watanzania walivyokula sumu walipochagua hii awamuDuh pole dogo.. inanikumbusha mbali sana...
Lakini kuna watu wana imani na dini yao wanasema yeye ni haramu hata kuliko mbuzi wa dini ya vatican, tena wanasema yule mweusi tii pua yake yale majimaji ni hatari zaidi ya shetani
Lakini kuna watu wana imani na dini yao wanasema yeye ni haramu hata kuliko mbuzi wa dini ya vatican, tena wanasema yule mweusi tii pua yake yale majimaji ni hatari zaidi ya shetani
Ulimfuga kwa malengo gani? Maana huo ukipenzi wa watu unaharibu kazi.Daah wangu kafa mwaka jana mwishoni,wahuni walimtupia nyama yenye sumu,wananchi waliskitika kama kafa mtu vile,mana alikuwa kipenzi cha watu mtaa mzima,alafu aliacha watoto wadogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumfuga alikuja mwenyewe tukampokea na kumlea naye akawa mlinzi wa kaya yetu na zinazotuzunguka.hakuwa akifungiwa ndani.Ulimfuga kwa malengo gani? Maana huo ukipenzi wa watu unaharibu kazi.
Huyo ndio alikuwa ananifaa awe best yangu .Mbwa kwa wazungu wanavyowachulia ni tofauti na sisi. Nilipata shost mzungu alikuja kama mtaalamu wa shirika fulani. Huyu dada alifuga mbwa wawili alitoka nao kwao.
Hawa mbwa waliringa na kudeka, ukiingia ndani kama wako kwenye kochi wala hawastuki ni wewe ndiyo utafute pa kuweka kalio.
Kazi ilikuwa mataulo walichanganya, akisha waogesha ana wafuta na taulo kisha anakifua kwenye mashine. Mashine hiyo hiyo anafulia mataulo ya jikoni ya kukaushia vyombo.
Ndipo nilipoacha kula kwa shost, hata kikombe cha chai.
Mbwa kwa wazungu wanavyowachulia ni tofauti na sisi. Nilipata shost mzungu alikuja kama mtaalamu wa shirika fulani. Huyu dada alifuga mbwa wawili alitoka nao kwao.
Hawa mbwa waliringa na kudeka, ukiingia ndani kama wako kwenye kochi wala hawastuki ni wewe ndiyo utafute pa kuweka kalio.
Kazi ilikuwa mataulo walichanganya, akisha waogesha ana wafuta na taulo kisha anakifua kwenye mashine. Mashine hiyo hiyo anafulia mataulo ya jikoni ya kukaushia vyombo.
Ndipo nilipoacha kula kwa shost, hata kikombe cha chai.