NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Ijapo najua hii itakuwa sio mada furahishi sana humu kuichangia nilitaka kujua tu,ila hili neno(Mapangaboy) lilikuwa na Tani za kutosha kipindi kile Magufuli alipoleta ndege mbili za kwanza.
Na sasa silisikii tena huku nini kimetokea na mbona neno hili limemaliza haraka hivi umaanarufu wake?
Wataalam wa Lugha naomba kujuzwa, huwa neno jipya la lugha yoyite likiibuka hukaa muda gani midomoni mwa watu na kupotea kabisa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sasa silisikii tena huku nini kimetokea na mbona neno hili limemaliza haraka hivi umaanarufu wake?
Wataalam wa Lugha naomba kujuzwa, huwa neno jipya la lugha yoyite likiibuka hukaa muda gani midomoni mwa watu na kupotea kabisa?
Sent using Jamii Forums mobile app