mtazamo huu wa maggid unaweza kuwa na ukweli ndani yake, lakini ni too simplistic. Mfano, ushindi wa national rainbow coalition kenya kwa namna moja au nyingine ulitegemea kwa kiasi kikubwa infuence na sheer personality ya raila odinga kuhamasisha umma, na siyo makada au mfumo wa uongozi wa nrc.
si kweli ushindi wa narc ya kenya mwaka 2002 ulitegemea influence na sheer personality ya raila odinga bali ukweli ni kuwa vyama vikuu vya upinzani vya dp ya mwai kibaki na kile cha raila, cha bi charity ngilu na vyama vingine viliunganisha nguvu kwa kushirikiana na vigogo waliojiengua toka kanu akiwemo makamu wa rais george saitoti na waziri musalia mudavadi na kuweza kuitoa kanu madarakani!!
Nadhani hii ni dhana potofu sana kutolewa na Mjengwa, huenda ni kwa vile amekulia ndani ya CCM huku kaka yake, Colonel Mjengwa, akiwa DC wa muda mrefu sana chini ya CCM. Sidhani kama kweli Tanzania tunahitaji misitu ya marais, tunahitaji rais mmoja tu. Kumkataa mtu mwenye uwezo eti kwa vile chama chake hakina miti mingine ni makosa sana kwa vile rais huyo ana mamlaka ya kuunda serikali yake akichukua wasaidizi wake kutoka sehemu yoyote ya nchi ambao ni pamoja na wanachama na wasiokuwa wanachama wa chama chake. Kwa mfano sishangani kuona kuwa Slaa akimfanya Mwakyembe kuwa waziri wa sheria na mambo ya Katiba
..but your timing of doing 'different thinking' is meticulously impeccable like an angel of death, isn't it?Ni ujinga pia, kudhani kila mtu anayefikiri tofauti , basi, ni fisadi au kanunuliwa na mafisadi.
Mkuu, reality itabakia kwamba hao wote walikuja jiunga Narc kwa sababu ya ushawishi wa Raila Odinga kama ulivyo ushawishi wa Dr.Slaa isipokuwa tu hapa Tanzania bado watu wanafikiria CCM ni mama yao mzazi. Laukama Kibaki angekwenda KANU, bado KANU wangeshindwa na wameshindwa kurudi hata baada ya kupata watu wengine maarufu...si kweli ushindi wa narc ya kenya mwaka 2002 ulitegemea influence na sheer personality ya raila odinga bali ukweli ni kuwa vyama vikuu vya upinzani vya dp ya mwai kibaki na kile cha raila, cha bi charity ngilu na vyama vingine viliunganisha nguvu kwa kushirikiana na vigogo waliojiengua toka kanu akiwemo makamu wa rais george saitoti na waziri musalia mudavadi na kuweza kuitoa kanu madarakani!!
Kama zilivyo 'makala' za 'Mjenga'huu mdahalo hauna neutrality..
acid ndugu yangu,
ni nani alikwambia kuwa mimi ni mwandishi wa habari?
Au ni wapi nilipowahi kuandika kuwa mimi ni mwandishi wa habari?
Kama huna majibu ni vema ukapima mwenyewe kama uendelee na malumbano au la.
Hata nikipewa dhamana ya U-RC nitasema; " Mheshimiwa, Asante sana, lakini HAPANA kwa sasa". Ndio, nina mke, na watoto wanaonihitaji zaidi katika makuzi yao. Kibarua ninachokifanya sasa na kipato changu, japo kidogo, kinaniwezesha kujikimu. Mimi ni mjamaa, na kamwe sijawahi kuupenda ubepari.
kwi kwi kwi kwikwi- Majjid Great Thinking bro!
Es!
That's what separates you from me mkuu lol: I am a pure capitalist (not a socialist).I am Pro-environment, anti-Makamba and Lowassa (because I think they are very, very bad people); and most of all, I am a proud Tanzanian with elitist traits lol
Magidd Nyerere aliitwa mwandishi mahiri wa vitabu na mfasiri kwa sababu ilikuwa hobby yake. Wewe pia ni mwandishi wa habari kwani huweka habari katika blog yako, you are blog journalist.. Ni kweli usikikwepe kivuli chakoAcid ndugu yangu,
Umefeli kujibu maswali yangu. Hata Mwalimu Nyerere aliwahi kuandika vitabu na makala, hajawahi kutambulishwa wala kujitambulisha kama mwandishi wa habari. Unaelekea kuwa ni mwenye msongo na kujawa chuki. Hilo ni tatizo lako. Zangu ni pole tu.
..lakini CCM ni msitu wa mafisadi, na JK ndiye fisadi mkuu. sasa kwanini tuchague chama kilichosheheni mafisadi na kutegemea mabadiliko?
..kila aliye msafi akiingia huko CCM anaiga tabia ya ufisadi iliyokithiri ndani ya chama hicho.
..kama unaridhika na maendeleo tuliyofikia baada ya miaka 49 ya uhuru, pigia kura CCM. kama huridhiki basi chagua upinzani.