Ndugu Zangu,
WENYE kustahimili mara nyingi hufanikiwa mwishoni. Na kamwe, huwezi kushinda kama hushindani. Na njia nyepesi ya kuepuka kushindwa ni kutoshiriki ushindani. Lakini, wale wasiojaribu, wasiopambana, wasioshindana, basi, tayari wameshashindwa. Ndio, katika dunia hii, kuna wasiojua kushinda wala kushindwa. Usiwe mmojawao. Na hilo ni Neno La Leo.
Maggid,
Iringa
Jumatatu, Februari 14, 2011
mjengwa
WENYE kustahimili mara nyingi hufanikiwa mwishoni. Na kamwe, huwezi kushinda kama hushindani. Na njia nyepesi ya kuepuka kushindwa ni kutoshiriki ushindani. Lakini, wale wasiojaribu, wasiopambana, wasioshindana, basi, tayari wameshashindwa. Ndio, katika dunia hii, kuna wasiojua kushinda wala kushindwa. Usiwe mmojawao. Na hilo ni Neno La Leo.
Maggid,
Iringa
Jumatatu, Februari 14, 2011
mjengwa