mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Wagalatia 6:7
"Msidanganyike Mungu hadhiakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna"
Kuna wengine wameshavuna, wengine wanavuna, wengine watavuna.
Lakini mavuno ya jumla ni siku ya Hukumu.
Kuwa makini na mienendo yako sasa maana mavuno ya maamuzi yako hayaepukiki.
Mungu awabariki.
Wengine kanuni hii ya dhahabu wameiita KARMA.
"Msidanganyike Mungu hadhiakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna"
Kuna wengine wameshavuna, wengine wanavuna, wengine watavuna.
Lakini mavuno ya jumla ni siku ya Hukumu.
Kuwa makini na mienendo yako sasa maana mavuno ya maamuzi yako hayaepukiki.
Mungu awabariki.
Wengine kanuni hii ya dhahabu wameiita KARMA.