tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,619
- 969
Mheshimiwa Rais karibu sana nchini kwetu. Nchi yako imepitia migogoro mingi sana ya ndani na mingine na nchi jirani. Naomba tafakari na fuata utaratibu unaofaa juu ya kupata eneo la bandari kule somaliland.
Ufahamu kuwa somaliland sio nchi bali ni sehemu ya Somalia 🇸🇴.
Ufahamu kuwa somaliland sio nchi bali ni sehemu ya Somalia 🇸🇴.