Neno jipya "Usinifokee”

Habari za jumamosi.

Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?

Kwa mfano
Aliekua RC wa Tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.
 
Habari za jumamosi.

Naona huu msemo umeshika nafasi kwa sasa,wadau ningependa kujua au kukumbushwa,huu msemo aliuanzisha ndugu Nani?

Kwa mfano
Aliekua RC wa tabora aliuanzisha fyekelea mbali, sukuma ndani.
Usitufokee please
 
Back
Top Bottom