BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
i see. . . .
Hahhaaa naona mnaanza kwenda anakotaka jamaa mtoa mada....big up wakuuInaonyesha hujui kukata chenge........... bao lichukuwe dakika 40............ kama ni mkata chenga mzuri bao linachukuwa dakika 10 hadi 20................
Hahhaaa naona mnaanza kwenda anakotaka jamaa mtoa mada....big up wakuu
kaka tafsiri ya bao hiyooo
Yan nimegundua ndio neno pekee lenye maana zaidi ya saba....bado yangu ntaisema punde