Neno au jina "tapeli" lilitokea wapi?

Neno au jina "tapeli" lilitokea wapi?

FYATU

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2011
Posts
5,867
Reaction score
5,064
Bila shaka wengi wetu tunalifahamu na kulitumia neno/jina hili.Tupo tunaoamini kuwa neno hili lilichomoza tu na kupokelewa na jamii, na halikuwa neno/jina rasmi kabla kama ilivyo kwa baadhi ya maneno mengine.Tupo tunaoamini kuwa neno hili lililetwa na Vijana Jazz/Hemed Maneti kupitia wimbo wa "Ogopa tapeli".Je hivyo ndiyo ilivyo au hili neno lilikuwepo kabla?.
 
Neno Tapeli linatokama na kifaransa tear per limaanisha mtu janja janja au mrushi ilietwa kwetu ikitokea Kongo Drc enzi hizo ikiitwa Zaire
Wakongo walikuwa wakifanya biashara wakahisi wewe ni mjajnja wanakuita hivyo, wabomgo kwa kushindwa kulitamka neno hilo vizuri ndo tukaishia kusema Tapeli.
 
Neno Tapeli linatokama na kifaransa tear per limaanisha mtu janja janja au mrushi ilietwa kwetu ikitokea Kongo Drc enzi hizo ikiitwa Zaire
Wakongo walikuwa wakifsnya biashara wakahisi ni mjajnja wanamuita hivyo, wabomgo kwankushinddwa kulitamka neno hilo vizuri ndo tukaishia kusema Tapeli.
Unaweza kuwa sahihi maana Maneti hakuanzisha ila alilipublisize tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom